Maajabu! Jiji la Mombasa halina stand ya bus

Hizo picha naona mkusanyiko wa magari bila mpangilio wowote yakiwa barabarani na sehem za wazi ndio bus stand hapo? Ufafanuzi tafadhali
 
Hiyo ni ukweli mkuu cha kushangaza aridhi ya Kenya 78%ni ya mzee kinyatter na mbaya zaidi mfumo wa ubepari hamna chembe ya ushauri na km watu hawaamini ebu nenda tarime utakuta Kuna stend kln upande wa isibania hakuna stend maajabu! Hayo yaani wametenga eneo la milungi wakaacha stend
 
Habari zenu wana Jf

kwa siku kadhaa nimekuwa nikisoma uzi kadhaa kuhusu miji ya Afrika mashariki hapa JF.

mji wa Mombasa ni mmoja wa miji yenye kusifiwa sana kwa mambo mazuri,
nilibahatika kufika pale wiki kadhaa nyuma lakini ajabu niliyoona mji ule hauna hata Stand ya Bus.

yaani kila kampuni inapakilia abiria ofisini kwake.

nikamuuliza mwenyeji wangu kulikoni? kaniambia mabepari walishauza kila kitu hata viwanja vya wazi hakuna,nikashangaa kuona hata daladala (Matatu) zao hazina stand zinapakia kokote tu.

ukweli mpangilio wa mji ule uko hovyo kabisa kwa mjini pale labda pembeni ambako sijatembelea.

Kitu kimoja tu nilipenda mji ule pale kivuko cha LIKONI pale wana ferry kama 3 au 4 zinapishana na watu wanapanda bure tu ila magari na vyombo vingine ndio wanalipa.Kwa hilo hongereni sisi hapa tuliambiwa kama hatuna pesa tupige mbizi tu.

Kingine barabara ya kutoka horohoro kwenda MSA ni mbovu hovyo kabisa na nyembamba mno.

Na nilichoona kingine Kenya maendeleo yao mengi ni ya mkoloni tu lakini toka wapate uhuru sidhani kama kuna la maana wamefanya.

Kingine maisha ni magumu sana sana nchi ile jamaa wana dhiki vibaya sana,najiuliza wao kuwa vinara wa Afrika Mashariki kwa uchumi imara lakini uchumi wao hauna faida wala msaada kwa raia wa kawaida, ni hayo tu kwa leo.
Hata sijakuelewa! Sasa sijui ndio umetulinganishaje sasa sisi na wao hadi ukafikia kigezo cha kutuponda kwa kutoza nauli kidogo sana kwenye ferry kwa ajili ya maendeleo mengine, umesema maisha yao, barabara zao, ni ovyo, tena hawana viwanja vya wazi vya serikali! Sasa huoni TZ tuko juu!! Acha kudharau.
 
kama unamaanisha bus stand hizo ziko kwa wingi, kila barabara hua inajengwa na mahala pa bus stand, hio ni standard kenya nzima, eapecially ndani ya town. kama unamaanisha main stage ya magari. mahali kama nairobi ziko zaidi ya kumi. pale afya center iko moja kubwa sana, pale kenya railways HQ kuna stage nyengine, kando na nairobi fire station hapo round about karibu na nation media center kuna ka stage hapo, kule ngara hapo kwa kuna juntion ya kwenda limuru road kuna stage nyengine...

ikija kwa story ya town zengine, bus stage huwa ziko kila mahali..... for mombasa, m
 
Mwendo wa mapicha kuhusu stage za mabasi Kenya. Japo bado nashauri niwasaidie kuwapa fursa ya kutoka nje ya Tanzania na kutembelea Kenya. Maana mkihadithiwa kijiweni chochote kibaya kuhusu Kenya, mnapigana vikumbo nani atapost wa kwanza JF.
Tutawafanyia mchango.....

Central-Bus-Station1-520x245.jpg


bus.jpg


584423383-aerial-view-of-koja-bus-station-gettyimages.jpg


Nairobi-Railway-Matatu-Station.jpg
Nimependa miti katika picha ya mwisho lakini the rest ni kama stand ya mbagala.....
Nimeipenda spirit yako ya kuikuza nchi yako lakini kwa hili ...Big nope
 
Habari zenu wana Jf



nikamuuliza mwenyeji wangu kulikoni? kaniambia mabepari walishauza kila kitu hata viwanja vya wazi hakuna,nikashangaa kuona hata daladala (Matatu) zao hazina stand zinapakia kokote tu.
Hapo huyo mwenyeji wako (ambaye sina shaka ni mdanganyika mwenzako) kakudanganya, ama ni wewe umecreate hili stori ya kiupuzi kueneza uongo humu.....

ukweli mpangilio wa mji ule uko hovyo kabisa kwa mjini pale labda pembeni ambako sijatembelea.
Waona? Ulianzisha hili mada kwa minajili ya kuiponda Kenya. Mji, vile umekiri wewe mwenyewe haukupatembelea kwote, wewe ulifika sijui hayo maeneo ya wapi, ukaconclude mji wa Msa umepangika vibaya!

Kitu kimoja tu nilipenda mji ule pale kivuko cha LIKONI pale wana ferry kama 3 au 4 zinapishana na watu wanapanda bure tu ila magari na vyombo vingine ndio wanalipa.Kwa hilo hongereni sisi hapa tuliambiwa kama hatuna pesa tupige mbizi tu.

Kingine barabara ya kutoka horohoro kwenda MSA ni mbovu hovyo kabisa na nyembamba mno.
Kwa hivo mabarabara zote za Dar ni sawa mna mapana?

Na nilichoona kingine Kenya maendeleo yao mengi ni ya mkoloni tu lakini toka wapate uhuru sidhani kama kuna la maana wamefanya.
Kweli?


Kingine maisha ni magumu sana sana nchi ile jamaa wana dhiki vibaya sana,najiuliza wao kuwa vinara wa Afrika Mashariki kwa uchumi imara lakini uchumi wao hauna faida wala msaada kwa raia wa kawaida, ni hayo tu kwa leo.
Pack of Rubbish.......
 
Na nilichoona kingine Kenya maendeleo yao mengi ni ya mkoloni tu lakini toka wapate uhuru sidhani kama kuna la maana wamefanya.

Kingine maisha ni magumu sana sana nchi ile jamaa wana dhiki vibaya sana,najiuliza wao kuwa vinara wa Afrika Mashariki kwa uchumi imara lakini uchumi wao hauna faida wala msaada kwa raia wa kawaida, ni hayo tu kwa leo.
Kwanza na sisi pia tuutaanza kudai na nyinyi muweke picha za hizo maish magumu mlishuhudia Kenya. Sio kuja tu humu na kueneza upuzz wa aina hii.
Hatukatai, umaskini upo Kenya, lakini usininidanganye hali ya dhiki Mombasa ati ni mbaya kushinda ya Dar. That is nonsense.

Hero, tell us more about that misery u claim to have witnessed in Mombasa tht doesnt exist in Dar.......bring it along with the pictures or your claims remain just that......porojo from someone who has either never been to Mombasa or envious of the development he saw in Mombasa.
 
And while at it Hero and Barbarosa, kindly, if u dont mind, show us hizo stend za basi za Dar. How exactly do they compare with the ones u saw in Kenya....?
 
Kwanza na sisi pia tuutaanza kudai na nyinyi muweke picha za hizo maish magumu mlishuhudia Kenya. Sio kuja tu humu na kueneza upuzz wa aina hii.
Hatukatai, umaskini upo Kenya, lakini usininidanganye hali ya dhiki Mombasa ati ni mbaya kushinda ya Dar. That is nonsense.

Hero, tell us more about that misery u claim to have witnessed in Mombasa tht doesnt exist in Dar.......bring it along with the pictures or your claims remain just that......porojo from someone who has either never been to Mombasa or envious of the development he saw in Mombasa.
lots of respect to you man
 
Buxton kuna stage ya mabasi kuelekea north coast(malindi na kilifi)...alafu stage za matatu/dalala zipo kote jijini kwa mfano posta,buxton,lights,makadara hospital n.k ...huyu mwanzisha mada awache porojo nyingi..kama alishindwa kulitambua jiji vizuri asituletee uongo hapa
Wacha kudanganya
Mimi nimesomea mombasa kwa miezi 9
Unazijua stand kweli!!

Tatizo mnadhani ninyi mna kila kitu
Na kamwe hamuwezi kosolewa na Tanzania
 
kuhusu hilo la uchumi linakuja hata tz just wait and see. kama hauelewi maana ya uchumi kuwa juu na kuwa stable waulize kenya watakuambia hali ilivyo, bila kazi mjini hapatasomeka kabisa yaani subiri tuu hasa kuanzia mwakani
 
Ni kweli kabisa. Inashangaza sana Jiji kama Nairobi linakosa stendi ya mabasi.


Hero, acheni upuzz, stand za magari za uma zipo katika kila mji wa Kenya, kwa sheria za town planning and road traffic laws Kenya. Haziwezi kukosekana. Wewe ndiye haukutembea mji mzima kujionea.

Mfano Nairobi, Bus station s ndizo hizi hapa


Arrive Safe Kenya


We still continue with our alphabetical list for matatu route numbers and destinations, in case the destination you are looking for lies in the first letters of the alphabet i.e. A-J; please be sure that you will find it when you follow the links given. NAIROBI MATATU ROUTE NUMBERS AND DESTINATIONS - Destinations Done Alphabetically (A-C) - Arrive Safe Kenya NAIROBI MATATU ROUTE NUMBERS AND DESTINATIONS - Destinations Done Alphabetically (D-J) - Arrive Safe Kenya The below destinations are those that start with Letter “K” to destinations starting with Letter “L” i.e. K-L

K.I.E
Matatu No. 9

Board the Matatu at Accra Road off Tom Mboya, the matatu passes Kariokor

Kaberia
Matatu No. 4W

Board the Matatu at GPO or at Railways Bus Station, the matatu passes through Ngong Road.

Kabete (Lower Kabete)

Matatu No. 118
Board the Matatu at Koja (Old Nation House Bus Stop), the Matatu passes through Ngara

Kabete (Upper Kabete)
Matatu No. 119

Board the Matatu at Koja (Old Nation House Bus Stop), the Matatu passes through Ngara

Kahawa Sukari/Kwale
Matatu No. 45,145

Board the Matatu at Mumbi Lane off Ronald Ngala Street, the Matatu passes through Thika Road

Kahawa Wendani
Matatu No. 45,145

Board the Matatu at Mumbi Lane off Ronald Ngala Street, the Matatu passes through Thika Road

Kahawa West
Matatu No. 44

Board the Matatu at Nakumatt, Ronald Ngala Street or next to Tuskys beba beba, the matatu passes through Thika Road

Kamiti Maximum Prison
Matatu No. 44

Board the Matatu at Nakumatt, Ronald Ngala Street or next to Tuskys beba beba, the matatu passes through Thika Road.

Kangemi
Matatu No. 23

Board the Matatu opposite Koja (Old Nation Bus Stop) or Board Star bus at Odeon Cinema/Latema road off Tom Mboya Street, the Matatu passes through uhuru highway
Kangundo Road
Matatu Unnumbered

Board the Matatu at Muthurwa bus Terminus, the matatu passes through Jogoo Road,
Karen C School
Matatu No. 24

Board the Matatu at Bus Station (BS) near Afya Centre or at Kencom House or at Railways Bus Station

Karen Shopping Centre
Matatu No. 24

Board the Matatu at Bus Station (BS) near Afya Centre, at Kencom House or at Railways Bus Station

Kariobangi N/Roundabout
Matatu No. 26

Board the matatu at Muthurwa Bus terminus

Kariobangi S
Matatu No. 36

Board the matatu at Muthurwa Bus Terminus

Kariokor Market
Matatu No. 6

Board the Matatu at Accra Road off Tom Mboya, the matatu passes Kariokor
Matatu No. 120
Board the Matatu at Bus Station (BS) near Afya Centre
Karura
Matatu No. 107A

Board the Matatu at Koja (Old Nation House) Bus Terminus

Kasarani
Matatu No. 17B

Board the matatu from inside Kenya Bus Station or from outside BS near the St Peter Claviers Catholic Church Matatu

Kawangware
Matatu No. 46,

Board Citti Hoppa bus at Kencom House Bus terminus along Moi Avenue, the bus passes through Valley Road.

Kayole
Matatu No. 17B

Board the matatu from inside Kenya Bus Station or from outside BS near the St Peter Claviers Catholic Church Matatu
Matatu No. 19/61
Board the matatu at Muthurwa Bus Terminus, the matatu passes through jogoo road, savana.

KCA
Matatu No. 45,145

Board the Matatu at Mumbi Lane off Ronald Ngala Street, the Matatu passes through Thika Road

Kenya School of Law
Matatu No. 24

Board the Matatu at Bus Station (BS) near Afya Centre or at Kencom House or at Railways Bus Station

Kenya Wildlife Service
Matatu No. 33

Board the matatu from opposite St Peter Claviers Catholic church or near OTC /Salvation Army areas

Kenyatta Market
Matatu No. 34,

Board a bus at Kencom house along Moi Avenue, the Matatu passes through Mbagathi Road

Kenyatta National Hospital
Matatu No. 7C

Board a bus at Kencom house along Moi Avenue, the Matatu passes through Mbagathi Road

Kenyatta University
Matatu No. 45, 145

Board the Matatu at Mumbi Lane off Ronald Ngala Street, the Matatu passes through Thika Road

Kiambu Town
Matatu No. 100

Board the matatu from opposite St Peter Claviers Catholic church or near OTC /Salvation Army areas

Kibera
Matatu No. 8

Board the Matatu at Railways Station, the Matatu passes through Ngong Road
Matatu No. 32
Board the Matatu at Kencom House Bus Terminus, the Matatu passes through Ngong Road

Kikuyu
Matatu No. 105

Board the Matatu along Tom Mboya Street opposite Kenya National Archives
The Matatu passes through Uhuru highway

Kikuyu Township
Matatu No. 102

Board the Matatu at Bus Station (BS) near Afya Centre or at Railways Bus Station

Kinoo
Matatu No. 105

Board the Matatu along Tom Mboya Street opposite Kenya National Archives
The Matatu passes through Uhuru highway

Kiserian
Matatu No.125, 126

Board the Matatu at Railways Station

Kitengela/Mlolongo
Matatu No. 110A

Board the Matatu at Railways Station, the Matatu passes through Mombasa Road

Komarocks Roundabout
Matatu No.19C, 18C

Board a bus at Kencom house or along Ronald Ngala Street, the Matatu passes through jogoo Road

Langatta Area/Langatta Barracks
Matatu No.34

Board the matatu along former Jack and Jill Supermarket
Matatu No.15
Board the Matatu at Bus Station (BS) near Afya Centre

Langatta Cemetary
Matatu No.125, 126

Board the Matatu at Railways Station, the Matatu passes through Mombasa Road

Langatta Road upto T-Mall
Matatu No.14

Board the Matatu at Bus Station (BS) near Afya Centre

Lavington
Matatu No. 48, 48A

Board the Matatu at Latema Road off Tom Mboya Street
The Matatu passes through Uhuru Highway

Limuru
Matatu No. 115, 116

Board the matatu at Koja (Old Nation House Bus terminus),


Lucky summer
Matatu No. 25A

Board the Matatu at Timboroa Lane, the Matatu passes through Thika Road



NAIROBI MATATU ROUTE NUMBERS AND DESTINATIONS - Destinations Done Alphabetically (K-L) - Arrive Safe Kenya
 
11248346_1804374839794498_5113830266503590517_n.jpg
13343034_10209939287505449_8076757695973334207_n.jpg

13533018_1030896210297419_3158613973128130626_n.jpg

12654668_972099776179067_593469595518505757_n.jpg

I repeat that we sincerely don't need a system like yours even though we do have them but for our convenience we prefer what we have. In any case it wouldn't help improve anything
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom