Mhh! ndugu zangu wana jamii f.
Nisaidieni juu ya huyu shem wangu.
My sis ananilalamikia na anaomba ushauri kwa haya:
- Alikuwa mwema sana na upendo walipokuwa wachumba ahadi ndoa.
- Ajabu kila siku zilipojongea akaanza kumtukana mama yake mzazi kuwa malaya aliwazaa hovyo hovyo na mengi mengi
mazito hata kwa ndugu zake.na hata kumnyang'anya mama yake kadi ya bima.
- akaaanza kumtukana mke wake hadi kwao na mama mkwe matusi ya ajabu hayo hayo hadi kwa ndugu wa mke.
- akaanza kumtukana bosi kazini na hata kukosana na kuhamishiwa mkoa mwingine mdogo tu toka jijini.
- Huko sasa ni kushikwa ugoni kila mara hata ndani mwao.
Wana watoto wawili na sisy ni mja mzito sasa.
- Sasa Hii kali ameanza Kunya ndani au kwenye vyombo vya chooni kama ndoo ya maji sakafuni ndani nk.
akimuuliza ananyamaza .
Afanye je?
Nisaidieni juu ya huyu shem wangu.
My sis ananilalamikia na anaomba ushauri kwa haya:
- Alikuwa mwema sana na upendo walipokuwa wachumba ahadi ndoa.
- Ajabu kila siku zilipojongea akaanza kumtukana mama yake mzazi kuwa malaya aliwazaa hovyo hovyo na mengi mengi
mazito hata kwa ndugu zake.na hata kumnyang'anya mama yake kadi ya bima.
- akaaanza kumtukana mke wake hadi kwao na mama mkwe matusi ya ajabu hayo hayo hadi kwa ndugu wa mke.
- akaanza kumtukana bosi kazini na hata kukosana na kuhamishiwa mkoa mwingine mdogo tu toka jijini.
- Huko sasa ni kushikwa ugoni kila mara hata ndani mwao.
Wana watoto wawili na sisy ni mja mzito sasa.
- Sasa Hii kali ameanza Kunya ndani au kwenye vyombo vya chooni kama ndoo ya maji sakafuni ndani nk.
akimuuliza ananyamaza .
Afanye je?