Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Tupo katika awamu ya tano yenye ndoto ya Tanzania ya Viwanda lakini kuna viongozi hawapo serious.
Huu ndiyo Ukumbi wa kimataifa wa halmashauri ya Busokelo unaoendelea kujengwa na watu walio serious wenye falsafa ya maendeleo.
Mwenyekiti yupo, Mkurugenzi yupo, Afisa manunuzi yupo, Mhandisi yupo.
Yaani nimeuangalia halafu nikasema hiiii
Huu ni mwonekano wa ndani. Unaweza fikiri ni kanisa ila sio kanisa ni project ya watu wanao mchezea rais wetu.
Huu ndiyo Ukumbi wa kimataifa wa halmashauri ya Busokelo unaoendelea kujengwa na watu walio serious wenye falsafa ya maendeleo.
Mwenyekiti yupo, Mkurugenzi yupo, Afisa manunuzi yupo, Mhandisi yupo.
Yaani nimeuangalia halafu nikasema hiiii
Huu ni mwonekano wa ndani. Unaweza fikiri ni kanisa ila sio kanisa ni project ya watu wanao mchezea rais wetu.