The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
Hallo hata sijui wamekosea au vipi. Nimecheck salary slip ya January nimekuta loan board hawajanikata na hawapo kabisa kwenye salary slip yangu.
Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni.
Awali mwezi uliopita deni lililobakia lilikua linasoma milioni mbili kasoro ila ghafla nimekuta limefutwa. Wakuu kuna nini kinaendelea loan board. Je kuna wengine wamepata mabadiliko na kufutiwa deni lililobaki kama mimi?
Nikapagawa kwa muda ikabidi nicheck status ya loan yangu kwenye website yao, nikakuta napongezwa kwa kumaliza kulipa deni.
Awali mwezi uliopita deni lililobakia lilikua linasoma milioni mbili kasoro ila ghafla nimekuta limefutwa. Wakuu kuna nini kinaendelea loan board. Je kuna wengine wamepata mabadiliko na kufutiwa deni lililobaki kama mimi?