Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,119
Kuna classmates wangu kadhaa nawaona mitandaoni hasa Facebook wakiwa ndani ya nguo za CCM. Kwakuwa Mimi ni Mwajiriwa wa Serikali hii basi wanajua mimi ni mwana CCM pia. Nikiwahoji wanafanya kazi gani wanabaki kulia njaa tu na kunipiga mizinga au connection.
Serikali si lazima ikuajiri lakini inapaswa kutengeneza mazingira ya vijana kuajiriwa tena si kama vibarua bali ajira rasmi. Ajira ni haki ya kijana yeyote ndio maana watoto wa viongozi karibu wote ni waajiriwa.
Sasa vijana hawa jobless sijui wamerogwa na nani, hawana kazi guarantee lakini wanakisifia chama kilichoua ndoto zao. Biashara au kilimo vinafana ukiwa na kazi au mtaji mnono.
Serikali si lazima ikuajiri lakini inapaswa kutengeneza mazingira ya vijana kuajiriwa tena si kama vibarua bali ajira rasmi. Ajira ni haki ya kijana yeyote ndio maana watoto wa viongozi karibu wote ni waajiriwa.
Sasa vijana hawa jobless sijui wamerogwa na nani, hawana kazi guarantee lakini wanakisifia chama kilichoua ndoto zao. Biashara au kilimo vinafana ukiwa na kazi au mtaji mnono.