Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Duh, sasa hiki ni nini tena ???Naye akasema akawaambia "...... amin amin nawaambia siku za mwisho zaja nazo zitakuwa na mengi tena mengine hamtayaamini, basi nasema iweni wenye hekima, jiwekeni safi wakati wote mkijitenga na uovu......"