Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 25,860
- 33,469
Habarini Wadau,
Juzi jumapili ya wiki iliyopita tarehe 4 nilikuwa kwenye sherehe ya kipaimara ya dogo mmoja eneo flani la Arusha Mjini.
Kulikuwa na pombe za kutosha hasa beer na watu walizikitwanga haswa, sasa ikatokea ugomvi wa kurushiana matusi ya nguoni
Mwanamke mmoja anagombana na mume wake nasikia ni mara kwa mara wanagombana (huyo mume alisafiri muda mrefu). Tatizo ni kwamba yule mwanamke alianzisha uhusiano na jamaa mmoja Masai Mlinzi.
Kisha yule dada akamwambia mumewe huniachii hela ya matumizi na nakuambia hivii
" Alichonacho Mmasai hutokaa uwe nacho dume usiye wa jandoni wewe"
Baada ya hapo washkaji wakawa wanasema Masai akikukunia mkeo...baaas tena kwsbb wana kikwanguo kwny dushe.
Wakuu Hii ni kweli na je hicho kikwanguo sisi hatuwezi kukipata?
Naomba kuelimishwa hapo.
Juzi jumapili ya wiki iliyopita tarehe 4 nilikuwa kwenye sherehe ya kipaimara ya dogo mmoja eneo flani la Arusha Mjini.
Kulikuwa na pombe za kutosha hasa beer na watu walizikitwanga haswa, sasa ikatokea ugomvi wa kurushiana matusi ya nguoni
Mwanamke mmoja anagombana na mume wake nasikia ni mara kwa mara wanagombana (huyo mume alisafiri muda mrefu). Tatizo ni kwamba yule mwanamke alianzisha uhusiano na jamaa mmoja Masai Mlinzi.
Kisha yule dada akamwambia mumewe huniachii hela ya matumizi na nakuambia hivii
" Alichonacho Mmasai hutokaa uwe nacho dume usiye wa jandoni wewe"
Baada ya hapo washkaji wakawa wanasema Masai akikukunia mkeo...baaas tena kwsbb wana kikwanguo kwny dushe.
Wakuu Hii ni kweli na je hicho kikwanguo sisi hatuwezi kukipata?
Naomba kuelimishwa hapo.