Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Maajabu hayataacha nchi hii salama na uwongo wa kiongozi mkubwa hapa nchini.
Hilo daraja la furahisha mkandarasi ni yuleyule TBA kalijenga kwa bil 4.7 ila zile hostel za uDSM walijenga kwa bil 10.
Tusaidiane na ukweli usemwe wanaompinga zito hawako timamu
Hili ndilo Daraja la furahisha lililipo jijini Mwanza.
Haya ni majengo 20 yenye ghorofa nne kila jengo na yana uwezo wa kuhudumia wanafunzi 4,000 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Hilo daraja la furahisha mkandarasi ni yuleyule TBA kalijenga kwa bil 4.7 ila zile hostel za uDSM walijenga kwa bil 10.
Tusaidiane na ukweli usemwe wanaompinga zito hawako timamu
Hili ndilo Daraja la furahisha lililipo jijini Mwanza.
Haya ni majengo 20 yenye ghorofa nne kila jengo na yana uwezo wa kuhudumia wanafunzi 4,000 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam