barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Hilo daraja watavushia ng'ombe.Wasukuma si wa shamba tu bali pia ni wa ng'ombe!
Hilo daraja watavushia ng'ombe.Wasukuma si wa shamba tu bali pia ni wa ng'ombe!
Hata fisi zao zitavuka hapo wakati wa usiku. Kwani hukumsikia rais? Hivyo lazima washeherekee hako kadaraja katakaoepusha wao na mifugo yao kugongwa na magari ya mwendokasi eneo hilo.Hilo daraja watavushia ng'ombe.
hahahah...Aisee yani hako kadaraja ndo bilioni nne?Kweli tunabana matumizi
Jibu hoja iliyopo mezani, daraja la furahisha ni zaidi ya 4bil, yakijengwa matatu yataishinda gharama Magufuli hostel. Shushan nondo kwanini Yale hela zaidi?Yaani huko upinzani hamfudishwi jinsi ya kushusha nondo.. oops nimesahau
Nyie wakurupukaji hata mada zilizoenda shule hamuwezi kuziandika.
Jibu hoja iliyopo mezani, daraja la furahisha ni zaidi ya 4bil, yakijengwa matatu yataishinda gharama Magufuli hostel. Shushan nondo kwanini Yale hela zaidi?
acha uongo nenda kafanye uchunguzi kwanza,
mkandarasi hapa si TBA bali ni nyanza road works, ujenzi wa daraja umehusisha pia barabara umbali wa km 2 toka furahisha mpaka pasiansi.
Ana hoja usimpuuze hebu ona huo uwiano hapo uone walakini uliopoYaani huko upinzani hamfudishwi jinsi ya kushusha nondo.. oops nimesahau
Nyie wakurupukaji hata mada zilizoenda shule hamuwezi kuziandika.
Ana hoja usimpuuze hebu ona huo uwiano hapo uone walakini uliopo
Acha uwongo. Daraja la Furahisha mjenzi/mkandarasi Ni Nyanza Roadworks Limited chini ya usimamizi wa TanRoadsMaajabu hayataacha nchi hii salama na uwongo wa kiongozi mkubwa hapa nchini.
Hilo daraja la furahisha mkandarasi ni yuleyule TBA kalijenga kwa bil 4.7 ila zile hostel za uDSM walijenga kwa bil 10.
Tusaidiane na ukweli usemwe wanaompinga zito hawako timamu
View attachment 620702
Hili ndilo Daraja la furahisha lililipo jijini Mwanza.
View attachment 621163
Haya ni majengo 20 yenye ghorofa nne kila jengo na yana uwezo wa kuhudumia wanafunzi 4,000 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Muda haudanganyi mashabiki maandazi mtazidi kuumbuka tuYaani huko upinzani hamfudishwi jinsi ya kushusha nondo.. oops nimesahau
Nyie wakurupukaji hata mada zilizoenda shule hamuwezi kuziandika.
Jinga kabisaBarabara pamoja na daraja bei ni BILLION hizo ulizotaja na sio daraja pekee.....
ila ngoja tukukubalie maana "upotoshaji" ndio silaha pekee mliyobaki nayo
NGOSHA ENDELEA KUYABANA HAYA MANYUMBU
Angalia nƴufa za majengo penɗwa ya hostel za 10ɓ utaona hurumaYaani huko upinzani hamfudishwi jinsi ya kushusha nondo.. oops nimesahau
Nyie wakurupukaji hata mada zilizoenda shule hamuwezi kuziandika.
Nƴanza road kampuni ƴa mƙuluacha uongo nenda kafanye uchunguzi kwanza,
mkandarasi hapa si TBA bali ni nyanza road works, ujenzi wa daraja umehusisha pia barabara umbali wa km 2 toka furahisha mpaka pasiansi.