Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Katika vitu vya ajabu nimeona Mashabiki/Wakereketwa/Misukule wanashangilia ni Pale waliposikia chadema Inapendwa na Wasomi huku CCM ikipendwa na Watu waliokua na Elimu na wa vijijini.
Nilitegemea CHADEMA watalipinga hili kwa Kutaka Kufanya Utafiti lakini wamelikubali Jinsi Lilivyo kama sifa.
Siasa ni Mtaji wa watu na tunajua Wasomi Katika Jamii Yeyote ile Duniani ni Wachache so Literally ile report imeweza kuijuza Tanzania Kuwa CHADEMA wana Kazi Kazi Kubwa kutushawishi sisi tusiokua na Elimu.
Mara nyingi Elimu yetu huwa inakua na Watu wachache wanaofika ngazi ya Usomi.
So CHADEMA mjiandae Kupigwa viboko Vya Pua tena kwani Chama chenu Kinapendwa na Wasomi.
Nilitegemea CHADEMA watalipinga hili kwa Kutaka Kufanya Utafiti lakini wamelikubali Jinsi Lilivyo kama sifa.
Siasa ni Mtaji wa watu na tunajua Wasomi Katika Jamii Yeyote ile Duniani ni Wachache so Literally ile report imeweza kuijuza Tanzania Kuwa CHADEMA wana Kazi Kazi Kubwa kutushawishi sisi tusiokua na Elimu.
Mara nyingi Elimu yetu huwa inakua na Watu wachache wanaofika ngazi ya Usomi.
So CHADEMA mjiandae Kupigwa viboko Vya Pua tena kwani Chama chenu Kinapendwa na Wasomi.