Maagizo ya Waziri Mkuu hayajatekelezwa Mwendokasi?

Janja weed

JF-Expert Member
Nov 20, 2020
2,668
4,885
Wiki mbili zilizopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa alitembelea Mwendokasi Dar es Salaam, aligundua madudu ikiwemo tiketi feki za kusafiria yule jamaa alipewa maiki akapata kigugumizi kaishia wapi, maana tuliambiwa Mamlaka yake ya Uteuzi inapewa taarifa, mbona hatujapata mwendelezo?
 
Wiki mbili zilizopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa alitembelea Mwendokasi Dar se Salaam, aligundua madudu ikiwemo tiketi feki za kusafiria yule jamaa alipewa maiki akapata kigugumizi kaishia wapi, maana tuliambiwa Mamlaka yake ya Uteuzi inapewa taarifa, mbona hatujapata mwendelezo?
Kaa kwa kutulia mkuu hii ni Nchi ya kuhamishahamisha ajenda ili siku ziende...mara CAG ,mara Covid19 mara bunge ,mara mwendekasi...watz ni wepesi wa kusahau sana..tukila tukashiba over.
 
Wiki mbili zilizopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa alitembelea Mwendokasi Dar se Salaam, aligundua madudu ikiwemo tiketi feki za kusafiria yule jamaa alipewa maiki akapata kigugumizi kaishia wapi, maana tuliambiwa Mamlaka yake ya Uteuzi inapewa taarifa, mbona hatujapata mwendelezo?
Jpm alishindwa mwendokasi sidhani kama samia ataweza
 
Wiki mbili zilizopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa alitembelea Mwendokasi Dar se Salaam, aligundua madudu ikiwemo tiketi feki za kusafiria yule jamaa alipewa maiki akapata kigugumizi kaishia wapi, maana tuliambiwa Mamlaka yake ya Uteuzi inapewa taarifa, mbona hatujapata mwendelezo?
Sijui kwanini Siku hizi nimeanza kupoteza mno Imani ya Kiutendaji ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na namuona kama vile ni Mtu aliyefuzu vyema kabisa Chuo cha Sanaa na Maigizo ( Kudanganya ) huko Bagamoyo au kutoka katika Kikundi maarufu nchini cha Kaole.
 
Sijui kwanini Siku hizi nimeanza kupoteza mno Imani ya Kiutendaji ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na namuona kama vile ni Mtu aliyefuzu vyema kabisa Chuo cha Sanaa na Maigizo ( Kudanganya ) huko Bagamoyo au kutoka katika Kikundi maarufu nchini cha Kaole.
Akiwa nafasi gani katika Kaole group
 
Huku mtaani huwa tunamuita Majaliwa a.k.a Mzee wa Kamera, Pale alienda Kupiga porojo na Kuonyesha kwamba bado yupo, Mwendo kasi hawatumii Mfumo wa ki electronic Kuthibitisha uhalali wa tiketi kwa takribani miaka miwili sasa, Changamoto ya abiri kujazana kwenye vituo huku mabasi yakionekana kuwa machache imezungumzwa tangu miezi michache baada ya kuanzishwa hiyo project, siku zote hizo hakuwa na Taarifa? Aache Porojo na Kufoka foka, kama amepata 10% ya kufunga mfumo mpya wa Kielectronic atulie.
 
Sijui kwanini Siku hizi nimeanza kupoteza mno Imani ya Kiutendaji ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na namuona kama vile ni Mtu aliyefuzu vyema kabisa Chuo cha Sanaa na Maigizo ( Kudanganya ) huko Bagamoyo au kutoka katika Kikundi maarufu nchini cha Kaole.
Mimi nikusalimu tu maana nilikumiss sana rafiki yangu.
 
Back
Top Bottom