technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Agizo la kufuta kesi zote hewa za watu waliobambikizwa kwanini watu bado wapo mahabusu mfano Mashehe wa uhamsho?
Agizo la kufungua vyombo vya habari mpaka sasa kimya
Agizo la kufungua biashara kati ya Tanzania na Kenya leo usiku kuna wavuvi wa Kenya wamekamatwa kwenye ziwa Victoria.
Report ya CAG mpaka sasa kimya
Suala la bundle mpaka leo voda na airtel bado wamegoma kurudisha bundle za zamani
Suala la kulikemea Bunge kwamba wawe wana discuss issue ambazo zinahusu taifa juzi tu Ndugai katapika tena eti anamkemea Nape kwa kuwasema wabunge wa viti maalumu.
Sasa tutasema tuna Rais hapa Rais ambaye akitoa maelekezo watu hawafanyi?
Nasisitiza nipo na Mama kwenye suala la kufufua uwekezaji nchini lakini sikubaliani yeye kushindwa kusimama kwenye uzembe na uwajibikaji wa watu wote walio chini yake.
Afanye maamuzi magumu sometime asiwe Rais Dhaifu.
Agizo la kufungua vyombo vya habari mpaka sasa kimya
Agizo la kufungua biashara kati ya Tanzania na Kenya leo usiku kuna wavuvi wa Kenya wamekamatwa kwenye ziwa Victoria.
Report ya CAG mpaka sasa kimya
Suala la bundle mpaka leo voda na airtel bado wamegoma kurudisha bundle za zamani
Suala la kulikemea Bunge kwamba wawe wana discuss issue ambazo zinahusu taifa juzi tu Ndugai katapika tena eti anamkemea Nape kwa kuwasema wabunge wa viti maalumu.
Sasa tutasema tuna Rais hapa Rais ambaye akitoa maelekezo watu hawafanyi?
Nasisitiza nipo na Mama kwenye suala la kufufua uwekezaji nchini lakini sikubaliani yeye kushindwa kusimama kwenye uzembe na uwajibikaji wa watu wote walio chini yake.
Afanye maamuzi magumu sometime asiwe Rais Dhaifu.