Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu wakati akiwa Mwanza nilimsikia Rais Samia akizungumzia suala la uanzishwaji wa academics kwa kila mkoa ili kukuza sekta ya mchezo wenyewe.
Ni jambo jema sana ila mimi nina mawazo tofauti na ushauri pia kwamba academy hutayarishwa na timu zote zinazoshiriki kwenye ligi, kuanzia timu kubwa hadi ndogo.
Timu zinapangwa kwa umri na wanakuwa na ligi zao kila mwaka na pia wale ambao wanafaulu mafunzo wanachaguliwa katika timu za wilaya, mikoa hadi taifa kuanzia miaka 15, hapo ndio tunapata timu za taifa under 15, 17, 19, 21 na Taifa Stars.
Lakini wakisema kuanzisha shule za michezo tano au sita ni kupoteza wakati tu.
Maana wenzetu ughaibuni kila timu iliyosajiliwa na inayoshiriki ligi katika madaraja yote huwa na academies ambazo zina umri kuanzia miaka 6 hadi 18.
Ni jambo jema sana ila mimi nina mawazo tofauti na ushauri pia kwamba academy hutayarishwa na timu zote zinazoshiriki kwenye ligi, kuanzia timu kubwa hadi ndogo.
Timu zinapangwa kwa umri na wanakuwa na ligi zao kila mwaka na pia wale ambao wanafaulu mafunzo wanachaguliwa katika timu za wilaya, mikoa hadi taifa kuanzia miaka 15, hapo ndio tunapata timu za taifa under 15, 17, 19, 21 na Taifa Stars.
Lakini wakisema kuanzisha shule za michezo tano au sita ni kupoteza wakati tu.
Maana wenzetu ughaibuni kila timu iliyosajiliwa na inayoshiriki ligi katika madaraja yote huwa na academies ambazo zina umri kuanzia miaka 6 hadi 18.