Maagizo ya Makonda kutekelezwa mara kwa mara na wananchi, tatizo ni nini?

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,665
15,061
Wadau amani iwe nanyi

Leo nimekaa na kutafakari msitakabali wa nchi yetu nimekuja na ugunduzi wa mambo kadha wa kadha.

Kwenye siasa za nchi yetu kuna kundi la watu ambalo kazi yao ni kuwaaminisha Wananchi kwamba kiongozi fulani hafai hivyo wasifuate maagizo yake lakini wananchi ndiyo kwanza wanazidi kumfuata na kumsikiliza huyo kiongozi!

Chadema wamekuwa wakimwandama sana RC Makonda na kujaribu kumfubaza mbele ya Wananchi tangu kipindi kile amtaje Mbowe kwenye genge la wauza madawa ya kulevya nchini na kupelekea madawa kuisha kabisa mitaani na mateja kupungua mno nchini kote, tangu hapo kila atakachoagiza Makonda Chadema lazima wapinge.

Mfano tarehe 20/April Makonda alitaka kila mwana Dar es salaam kuanza kuvaa barakoa ili kujikinga na na hivi virus vya Corona lakini Chadema walipinga agizo hilo kwa nguvu zote!

Chadema walipinga agizo hilo kwa kisingizio kwamba anayetakiwa kutoa agizo la kuvaa barakoa ni waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Lakini cha kushangaza pamoja na Chadema kuwataka wananchi wasivae barakoa lakini wananchi wameitikia kweli kweli wito wa Makonda kila kona ya jiji wananchi wameva barakoa, hii ina maana gani kwa Chadema

Je, ina maanisha chadema haisikilizwi tena na wananchi? Mvuto wa chadema umekwisha?

Nini kimetokea chadema iliyokuwa inaagiza watu watoke nje kuandamana na wanatoka kweli licha ya mabomu leo imekuwaje hawafuati maagizo ya chadema? Ni laana ya Dk Slaa? Kwa hali hii Chadema itashinda uchaguzi wowote?

Yetu macho.
 
Mkuu nawa mikono kwa sabuni na maji tiririka au vitakasa mikono, vaa barakoa punguza safari sisizo za lazima. Hakikisha watoto wako hawazururi hovyo. Epuka misongamano na fuata maelekezo kwa afya yako.

Achana na haya mambo ya Chadema na CCM wakati huu. Hata hao unao watetea hawakutambui hata ukiugua hawatakuja kukuona watakuacha ujifie mwenyewe na uzikwe na watu wajiji
 
Maagizo yapi yanayotekelezwa?!

1. Madawa ya kulevya -alifeli; sikumbuki yupi aliwahi kukutwa na hatia mahakamani.
2. Kuwakamata wanaume waliotelekeza wanawake waliowazalisha -alifeli.
3. Watakamata wazururaji wakati huu wa Corona - alifeli.
4.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu sio wakati wa kuongea siasa, nchi ipo kwenye health catastrophe.. badilkeni Watz
 
Wadau amani iwe nanyi

Leo nimekaa na kutafakari msitakabali wa nchi yetu nimekuja na ugunduzi wa mambo kadha wa kadha.

Kwenye siasa za nchi yetu kuna kundi la watu ambalo kazi yao ni kuwaaminisha Wananchi kwamba kiongozi fulani hafai hivyo wasifuate maagizo yake lakini wananchi ndiyo kwanza wanazidi kumfuata na kumsikiliza huyo kiongozi!

Chadema wamekuwa wakimwandama sana RC Makonda na kujaribu kumfubaza mbele ya Wananchi tangu kipindi kile amtaje Mbowe kwenye genge la wauza madawa ya kulevya nchini na kupelekea madawa kuisha kabisa mitaani na mateja kupungua mno nchini kote, tangu hapo kila atakachoagiza Makonda Chadema lazima wapinge.

Mfano tarehe 20/April Makonda alitaka kila mwana Dar es salaam kuanza kuvaa barakoa ili kujikinga na na hivi virus vya Corona lakini Chadema walipinga agizo hilo kwa nguvu zote!

Chadema walipinga agizo hilo kwa kisingizio kwamba anayetakiwa kutoa agizo la kuvaa barakoa ni waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Lakini cha kushangaza pamoja na Chadema kuwataka wananchi wasivae barakoa lakini wananchi wameitikia kweli kweli wito wa Makonda kila kona ya jiji wananchi wameva barakoa, hii ina maana gani kwa Chadema

Je, ina maanisha chadema haisikilizwi tena na wananchi? Mvuto wa chadema umekwisha? Je, ni laana ya kuuza madawa ya kulevya au damu ya Akwilina?

Nini kimetokea chadema iliyokuwa inaagiza watu watoke nje kuandamana na wanatoka kweli licha ya mabomu leo imekuwaje hawafuati maagizo ya chadema? Ni laana ya Dk Slaa? Kwa hali hii Chadema itashinda uchaguzi wowote?

Yetu macho.
Tambua jambo, kati ya kushwishi na amri, moja lazima na lingine ni hiyari.kutekeleza amri si suala la kumsikiliza mtu, kumkubali mtu au hiyari, unaweza tekeleza amri huku ukiwa umechukia, lakini kushwishi ni unafanya kwa kukubali kwa mapenzi,kwa kuelewa, na ukiwa huru bila shuruti!
 
Wadau amani iwe nanyi

Leo nimekaa na kutafakari msitakabali wa nchi yetu nimekuja na ugunduzi wa mambo kadha wa kadha.

Kwenye siasa za nchi yetu kuna kundi la watu ambalo kazi yao ni kuwaaminisha Wananchi kwamba kiongozi fulani hafai hivyo wasifuate maagizo yake lakini wananchi ndiyo kwanza wanazidi kumfuata na kumsikiliza huyo kiongozi!

Chadema wamekuwa wakimwandama sana RC Makonda na kujaribu kumfubaza mbele ya Wananchi tangu kipindi kile amtaje Mbowe kwenye genge la wauza madawa ya kulevya nchini na kupelekea madawa kuisha kabisa mitaani na mateja kupungua mno nchini kote, tangu hapo kila atakachoagiza Makonda Chadema lazima wapinge.

Mfano tarehe 20/April Makonda alitaka kila mwana Dar es salaam kuanza kuvaa barakoa ili kujikinga na na hivi virus vya Corona lakini Chadema walipinga agizo hilo kwa nguvu zote!

Chadema walipinga agizo hilo kwa kisingizio kwamba anayetakiwa kutoa agizo la kuvaa barakoa ni waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Lakini cha kushangaza pamoja na Chadema kuwataka wananchi wasivae barakoa lakini wananchi wameitikia kweli kweli wito wa Makonda kila kona ya jiji wananchi wameva barakoa, hii ina maana gani kwa Chadema

Je, ina maanisha chadema haisikilizwi tena na wananchi? Mvuto wa chadema umekwisha? Je, ni laana ya kuuza madawa ya kulevya au damu ya Akwilina?

Nini kimetokea chadema iliyokuwa inaagiza watu watoke nje kuandamana na wanatoka kweli licha ya mabomu leo imekuwaje hawafuati maagizo ya chadema? Ni laana ya Dk Slaa? Kwa hali hii Chadema itashinda uchaguzi wowote?

Yetu macho.
Weka Uccm na Uchadema pembeni toa Elimu namna ya kupambana na Corona. Wananchi wanalinda afya zao na sio kufuata maagizo ya Fulani. Corona ni janga letu sote kuwa tofauti na yule aliyesema korona ni upinzani.
 
Wadau amani iwe nanyi

Leo nimekaa na kutafakari msitakabali wa nchi yetu nimekuja na ugunduzi wa mambo kadha wa kadha.

Kwenye siasa za nchi yetu kuna kundi la watu ambalo kazi yao ni kuwaaminisha Wananchi kwamba kiongozi fulani hafai hivyo wasifuate maagizo yake lakini wananchi ndiyo kwanza wanazidi kumfuata na kumsikiliza huyo kiongozi!

Chadema wamekuwa wakimwandama sana RC Makonda na kujaribu kumfubaza mbele ya Wananchi tangu kipindi kile amtaje Mbowe kwenye genge la wauza madawa ya kulevya nchini na kupelekea madawa kuisha kabisa mitaani na mateja kupungua mno nchini kote, tangu hapo kila atakachoagiza Makonda Chadema lazima wapinge.

Mfano tarehe 20/April Makonda alitaka kila mwana Dar es salaam kuanza kuvaa barakoa ili kujikinga na na hivi virus vya Corona lakini Chadema walipinga agizo hilo kwa nguvu zote!

Chadema walipinga agizo hilo kwa kisingizio kwamba anayetakiwa kutoa agizo la kuvaa barakoa ni waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Lakini cha kushangaza pamoja na Chadema kuwataka wananchi wasivae barakoa lakini wananchi wameitikia kweli kweli wito wa Makonda kila kona ya jiji wananchi wameva barakoa, hii ina maana gani kwa Chadema

Je, ina maanisha chadema haisikilizwi tena na wananchi? Mvuto wa chadema umekwisha? Je, ni laana ya kuuza madawa ya kulevya au damu ya Akwilina?

Nini kimetokea chadema iliyokuwa inaagiza watu watoke nje kuandamana na wanatoka kweli licha ya mabomu leo imekuwaje hawafuati maagizo ya chadema? Ni laana ya Dk Slaa? Kwa hali hii Chadema itashinda uchaguzi wowote?

Yetu macho.
Yawezekana utakuwa na uwendawazimu wa aina fulani. Kwenye haya mapambano, siasa zako za kivyama na ushabiki wa kisiasa ni upumbavu.

Shauri mambo yatakayotupeleka kwenye mafanikio kuliko ushabiki wa kijinga. Tuunge mkono kila jitihada, hata kama ni ndogo, inayosaidia kupunguza maambukizi. Kila mmoja ashiriki kusaidia hilo kwa namna anayoona inawezekana.

Hii post yako ni ya kijinga kwa sababu haitusaidii kupunguza maambukizi na wala haimshauri yeyote namna ya kufanya ili kupunguza maambukizi.
 
Wadau amani iwe nanyi

Leo nimekaa na kutafakari msitakabali wa nchi yetu nimekuja na ugunduzi wa mambo kadha wa kadha.

Kwenye siasa za nchi yetu kuna kundi la watu ambalo kazi yao ni kuwaaminisha Wananchi kwamba kiongozi fulani hafai hivyo wasifuate maagizo yake lakini wananchi ndiyo kwanza wanazidi kumfuata na kumsikiliza huyo kiongozi!

Chadema wamekuwa wakimwandama sana RC Makonda na kujaribu kumfubaza mbele ya Wananchi tangu kipindi kile amtaje Mbowe kwenye genge la wauza madawa ya kulevya nchini na kupelekea madawa kuisha kabisa mitaani na mateja kupungua mno nchini kote, tangu hapo kila atakachoagiza Makonda Chadema lazima wapinge.

Mfano tarehe 20/April Makonda alitaka kila mwana Dar es salaam kuanza kuvaa barakoa ili kujikinga na na hivi virus vya Corona lakini Chadema walipinga agizo hilo kwa nguvu zote!

Chadema walipinga agizo hilo kwa kisingizio kwamba anayetakiwa kutoa agizo la kuvaa barakoa ni waziri mkuu Kassim Majaliwa.

Lakini cha kushangaza pamoja na Chadema kuwataka wananchi wasivae barakoa lakini wananchi wameitikia kweli kweli wito wa Makonda kila kona ya jiji wananchi wameva barakoa, hii ina maana gani kwa Chadema

Je, ina maanisha chadema haisikilizwi tena na wananchi? Mvuto wa chadema umekwisha? Je, ni laana ya kuuza madawa ya kulevya au damu ya Akwilina?

Nini kimetokea chadema iliyokuwa inaagiza watu watoke nje kuandamana na wanatoka kweli licha ya mabomu leo imekuwaje hawafuati maagizo ya chadema? Ni laana ya Dk Slaa? Kwa hali hii Chadema itashinda uchaguzi wowote?

Yetu macho.

Nikiwa sina Ushabiki wa Chama chochote kile cha Kisiasa nchini Tanzania na ni Mtu Neutral tu sikumbuki ni lini hao CHADEMA waliwataka Watu ( Watanzania ) wasivae hizo Barakoa ( Masks ) kama unavyojaribu Kutuaminisha hapa Ndugu. Tamklo la Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Makonda limeendana kabisa na Ushauri wa hata Shirika la Afya duniani ( WHO ) kuwa kutokana na Tafiti za hivi karibuni kuhusu COVID-19 imegundulika kuwa Kirusi hiko kimejibadili na sasa kinasambaa ( kinaenea ) kwa njia ya hewa ( airborne ) hivyo ni vyema Watu wote duniani wakachukua Tahadhari ya haraka kwa Kujikinga kwa Kuvaa hizo Barakoa. Hebu tuacheni Kuingiza na Kuhubiri Siasa zetu za Kishamba katika Kukabiliana na hili Janga baya lililoikumba dunia kwa sasa kwani hata zile nchi ambazo zimekumbwa nao na zina Siasa Kali kuliko zetu Tanzania sasa wameungana, wameweka Itikadi zao pembeni na kila wakati wanashirikiana ili kuweza Kuzikomboa nchi zao. Tubadilike!
 
Weka Uccm na Uchadema pembeni toa Elimu namna ya kupambana na Corona. Wananchi wanalinda afya zao na sio kufuata maagizo ya Fulani. Corona ni janga letu sote kuwa tofauti na yule aliyesema korona ni upinzani.
Kwa nini chadema wapinge agizo la Makonda la kuvaa barakoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana utakuwa na uwendawazimu wa aina fulani. Kwenye haya mapambano, siasa zako za kivyama na ushabiki wa kisiasa ni upumbavu.

Shauri mambo yatakayotupeleka kwenye mafanikio kuliko ushabiki wa kijinga. Tuunge mkono kila jitihada, hata kama ni ndogo, inayosaidia kupunguza maambukizi. Kila mmoja ashiriki kusaidia hilo kwa namna anayoona inawezekana.

Hii post yako ni ya kijinga kwa sababu haitusaidii kupunguza maambukizi na wala haimshauri yeyote namna ya kufanya ili kupunguza maambukizi.
Wambie bavicha wenzako sasa wakubali kuvaa barakoa kama alivyoagiza Makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakwambia watu wamevaa barakaoa kwasababu ya bashite?
Labda huko lumumba mimi nilianza kuvaa kipindi hata jiwe anasema kuwa mavitambaa hayasaidii kitu na huyo zirobrain alipokuwa anafanya mikusanyiko isio salama.
 
Chadema walipinga agizo hilo kwa kisingizio kwamba anayetakiwa kutoa agizo la kuvaa barakoa ni waziri mkuu Kassim Majaliwa.
CHADEMA kupitia kwa kiongozi gani walipinga. Jana Wabunge wote wa CHADEMA walikuwa wamevaa barakoa tofauti na wenzao wa CCM. Sasa utasemaje kwamba CHADEMA walipinga watu kuvaa barakoa?

CHADEMA walichokuwa wanasema na kitu ambacho ni sahihi kwamba kama Waziri Mkuu alisema kwamba yeye pekee na aliowateua ndio watazungumzia mambo ya COVID-19 ikawaje tena Makonda akaanza kutoa maagizo?
 
CHADEMA kupitia kwa kiongozi gani walipinga. Jana Wabunge wote wa CHADEMA walikuwa wamevaa barakoa tofauti na wenzao wa CCM. Sasa utasemaje kwamba CHADEMA walipinga watu kuvaa barakoa?

CHADEMA walichokuwa wanasema na kitu ambacho ni sahihi kwamba kama Waziri Mkuu alisema kwamba yeye pekee na aliowateua ndio watazungumzia mambo ya COVID-19 ikawaje tena Makonda akaanza kutoa maagizo?
Kwa hiyo wa bunge kwa Chadema hawajasubiri agizo la waziri mkuu ila wameamua kutii agizo la Makonda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom