Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,261
- 31,382
Shida ni kuwa maagizo ya kutolewa na mwenyekiti wa chama yanatolewa na rais... amesahau kuwa alikuwa kwebye ziara ya kiserikali na si kichamaKuna wakati najaribu kumwelewa raisi wangu Magufuli ili angalau niendane na kasi yake, lakini karibu kila ninapojaribu kufanya hivyo, ninashindwa kwa 85%. La hivi karibuni ni haya magizo aliyotoa wakati wa uzinduzi wa wilaya ya KIgamboni. Kulingana na taarifa za IPP Magufuli ametoa maelekezo yafuatayo;
View attachment 1355040
Hebu niambieni ndugu zangu, ni mimi tu naona kuna tatizo katika maagizo haya ya raisi au kweli kuna tatizo?