kama njia za kishirikina zimetufaa hatuna budi kuzitumia maana majirani wametumia njia za kisasa bt matoken yake corona imewaendesha na kila siku wanafunga mashule na madhara ni makubwa kuliko sisi.Rais SSH amewajengea hofu viongozi wa mikoa na wilaya baada ya kuwatumbua DC na mkurugenzi wake pale Morogoro mjini. Mama anajipendekeza kwa machinga na bodaboda ili 2025 wampigie debe.
Na kuhusu korona mzimu wa Magufuli juu ya kuhimiza watu watumie njia za kishirikina za kujifukiza bado upo. Na kwa kuwa watanzania wengi ni wajinga na ni washirikina itakuwa ngumu kuchukua tahadhari.
Labda mama atumie mbinu ya Durtete, mtu asiyetaka kuvaa barakoa na chanjo jela.
ufike wakati tupunguze unafiki hata kama hatumkubali mtu basi tuthamini juhudi yake ilolivusha taifa katika kipindi kigumu zaidi.