Nsimbinso
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 407
- 431
Very sure...Kwa sasa mazgizo ya korona ni kuwarizisha mabeberu.....!
Namna yetu ya kupambana na corona imekuwa na ufanisi mkubwa kuliko hizi namna wanazopambana kuiga toka kwa ambao bado wanateswa na corona...
Katika hali ya kawaida wao ndo wanapaswa kuiga namna yetu ya kupambana na corona, na siyo sisi kuiga namna yao.