johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,846
- 141,768
Mwaka 2019 ukimsikia mtendaji wa serikali anakuambia amepata maagizo kutoka juu ili atekeleze jambo fulani basi elewa huko juu ni kwenye katiba na Sheria.
Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo hayana vyama!