Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,071
- 2,010
Leo asubuhi nilitaka kupita njia ya Ikulu ya huku baharini nikakuta imefungwa, kumbe kuna Maafisa wa JWTZ (Officer Cadets) wanakula kiapo leo na kuwa Maluteni usu. Hii shughuli ndo kwa mara ya kwanza inafanyikia Ikulu, nasikia huwa miaka yote ya nyuma hufanyika Monduli Arusha.
Hivyo mnaotaka kutumia njia hiyo imefungwa kwa sasa.
============
Kipindi Mubashara TBC1 ni hafla ya kutunuku kamisheni kwa maafisa 194 wa JWTZ. Kwa kuwa mafunzo ya kamisheni yamefanyika Monduli na kuhitimishwa kwa hafla fupi ya kukamilisha utoaji wa kamisheni kwa Maafisa hao wa JWTZ katika viwanja vya Ikulu Magogoni.
Je, utaratibu huu wa kutoa kamisheni kwa maafisa wa JWTZ kufanyika Ikulu ni utaratibu mpya badala ya Rais kwenda Monduli kulikofanyika mafunzo au ni kubana matumizi kwa safari ambayo angeenda Monduli?
Hivyo mnaotaka kutumia njia hiyo imefungwa kwa sasa.
============
Kipindi Mubashara TBC1 ni hafla ya kutunuku kamisheni kwa maafisa 194 wa JWTZ. Kwa kuwa mafunzo ya kamisheni yamefanyika Monduli na kuhitimishwa kwa hafla fupi ya kukamilisha utoaji wa kamisheni kwa Maafisa hao wa JWTZ katika viwanja vya Ikulu Magogoni.
Je, utaratibu huu wa kutoa kamisheni kwa maafisa wa JWTZ kufanyika Ikulu ni utaratibu mpya badala ya Rais kwenda Monduli kulikofanyika mafunzo au ni kubana matumizi kwa safari ambayo angeenda Monduli?