Maafisa wa Tanzania wasifiwa kwa kubana matumizi mkutano wa UN NewYork; Togo, Mali, Nigeria ni kufuru

Apart from *trimming the delegation number,* Tanzanian delegation are staying at *double tree hotel in New York for only $200 per night* vs those from *Togo, Swaziland are in hotels charging $1800 per night*.
 
Hizo hela wanabana matumizi halafu maisha ni magumu what the hell!!? Bora hata wangejiachia tuu mf
 
Tunahitaji kusifiwa kwa contents za mkutano na si matumizi. Issue ya North Korea imeendaje?
 
UN security council ni kikao cha ulaji??? Israel wakienda naelewa...sisi he?
 
Per diem yao kwa siku ni $$$ ngapi? Tuanzie hapo.
 
Watoa habari wapuuzi wanasifia tu hawajui kwamba Pombe na serikali yake hakuna fedha hazina
 
Kwa hiyo tunaona ufahari kuitwa maskini wakati tuna utajiri wa kila aina katika nchi yetu ila CCM na genge lao la ulanguzi ndo waliotufikisha hapa halafu SAA hivi wanaanza kukumbuka shuka kumeshakucha
 
MAREKANI: Kituo kimoja cha habari kimeripoti matumizi makubwa ya wawakilishi wa nchi za Afrika waliopo katika mkutano wa Umoja wa Mataifa jijini New York.

> Aidha wametoa pongezi kwa Wawakilishi wa Tanzania walioripotiwa kukaa kwenye Hoteli ya bei rahisi kulinganisha na mataifa mengine.

> Wawakilishi wa Gabon wanaishi Plaza Hotel inayodaiwa kulipiwa Dola 1000 hadi 15,000 huku wawakilishi wa Nigeria wakilipia Dola 800 Pierre Hotel

> Wawakilishi wa Mali wao hutumia kati ya Dola 800 hadi 9,000 kwa usiku mmoja katika Hoteli ya Waldorf-Astoria.

> Wawakilishi kutoka Swaziland wameonekana wakiwa na bidhaa za gharama kutoka duka la Bergdorf Goodman.

=======
As diplomats congregate for the United Nations General Assembly, delegations from some of the poorest countries in the world are spending extravagantly in New York City while their homelands struggle, NBC 4 New York's I-Team has discovered.

“The lavish spending is just endemic of autocratic politics as a whole,” said Alastair Smith, a politics professor from New York University and co-author of “The Diplomat’s Handbook.”

He believes the U.N.’s Manhattan address has become a distraction from the intended work of the General Assembly.

“They are here for the shopping, the food the wine, the dining. If it was in a less attractive place, I'm sure fewer people would want to come as hangers-on,” said Smith.

On Monday, I-Team cameras found several visitors with the U.N. delegation from Swaziland walking out of high-end retailer Bergdorf Goodman. The women had Bergdorf Goodman shopping bags, though they said the items inside were just gifts.

According to U.N. data, nearly 70 percent of Swazi people survive on less than $2 a day. The nation has one of the highest AIDS rates: 18 percent of the population is HIV positive.

Despite those struggles back home, numerous members of the Swaziland U.N. entourage are staying at the luxury Mandarin Oriental Hotel, the I-Team has learned.

Also staying at the Mandarin Oriental were members of the delegation from Togo. According to one U.N. report, 2.4 million Togolese citizens live on less than $1.25 a day.

Diplomats from Gabon were staying at the Plaza Hotel, where rooms go for a $1,000 to $15,000 a night.

Nigeria’s delegation is keeping five vehicles parked outside the Pierre Hotel where the cheapest room is about $800 a night – or roughly what most Nigerians earn in two years.

At the Waldorf-Astoria, where rooms are between $800 and $9,000 a night, the I-Team found the delegation from Mali, a country where 4.6 million people are battling starvation. A recent U.N. report found Mali is the third poorest nation in the world with a poverty rate near 87 percent.

To be fair, not every poor nation spent so much for hotel accommodations: Members of the Tanzania delegation were found staying at a DoubleTree hotel in Midtown.

Although it may be unseemly for diplomats from poor countries to live ostentatiously during their stays in Manhattan, advocates for business point out there is an undeniable upside to much of the diplomatic extravagance – the boon for New York City’s local economy.

"I don't think it is really up to us to moderate the type of spending that comes from other countries. That's their business,” said Nancy Ploeger, president of the Manhattan Chamber of Commerce. “What I'm concerned with is the economic impact on this city. I like the money. I want the money!"

None of the permanent missions to the UN from Togo, Swaziland, Gabon, Mali or Nigeria returned calls or emails relating to this story.

Nonprofits that monitor developing nations are also becoming increasingly sensitive to the issue of third world rulers spending lavishly abroad.

The group “100 Reporters” is actually holding a contest asking New Yorkers to snap photos of UN diplomats spending ostentatiously.

By one estimate, the ruling classes of third-world nations divert as much as $1 trillion from their developing economies to spend and invest the funds in the U.S. and other Western nations.

“The real underlying motivation for the movement of so much money out of developing countries is the hidden accumulation of wealth,” said Raymond Baker, executive director of Global Financial Integrity, a nonprofit watchdog that monitors capital flows into and out of impoverished countries.

“This is about getting rich secretly and not having to distribute those funds locally,” Baker

Source:UN Delegates Live Large in NY While Their People Starve
magu hana hela ya kulipa mishara wanajeshi.

atumie hela kwa anasa jeshi likose msosi anajipenda??
 
ule msafara wa mugabe na wajukuu zake vipi? hauja orodheshwa hapa...? wame lala kwa dolla ngapi? au walijengaga hotel na nyumba zao huko, hivyo wameenda nyumbni?

sasa hivi mugabe ana tembea tu hana tabu mpinzani wake kadanja so no stress ya viuchaguzi... stress imebaki kwa mkewe anaye taka amtangaze yeye kama mrithi wake... [HASHTAG]#Naisi[/HASHTAG] huyu mama akiwaongoza wazimbabwe ana weza piga makofi kila raia...
 
Ajenge mfumo sio awe anapigana vita mtu 1......kila sehemu yeye tuuuu!!! Anawafanya wasaidizi wake hofu tupu kuogopa kutoa maamuzi....maana ghafla huyatengua....mfumoo!!!!!
 
Back
Top Bottom