Maafisa wa Nigeria wamekamata mchele wa plastiki

Kwa mujibu wa BBC mchele huo unaiva lakini unakuwa mkubwa mkubwa kuliko mchele wa kawaida.

Wakati mwingine vyombo vya habari vya nagharibi uweka chumvi mno au kutaka kuwaribia biashara Wachina.

Plastic ambazo ni byproduct za Petroleum zinawezaje kubadirishwa kuwa chakula?

Sayansi ya wapi hiyo! Zamani Wajapan waliwahi kuipatia Tanzania rice ulikuwa ni tofauti na mchele tulio uzoea ukipikwa ulikuwa inakuwa mkubwa zaidi lakini hilo alimaanishi ulikuwa ni mchele uliotokana wa plastic.
 
...Mie siiamini hii habari.

...malighafi za kutengenezea huo mchele na kupack ni cheap ukilinganisha na mchele unaolimwa?mmmm
Hili ndilo swali la kujiuliza maana watu wanatengeneza vitu vya forgery Ku gain profit je,gunia moja la kilo mia la huo mchele wa plastic linaweza kuwa less expensive ukilinganisha na ghalama za mchele halisi ukizingatia kuna ghalama za malighafi na jinsi ya kuutengeneza mm kwa mawazo Yangu hizi ni propaganda za Kuwaharibia wachina biashara kutoka kwa washindani wao kumbuka Chinese wanaliteka Soko la Africa kibiashara.
 
Da huu mchele jamaa yangu alinitumia Clip jinsi unavyotengenezwa huko China,nikapuuzia kumbe usikute hata kwetu upo,tunaomba mamlaka husika fuatilieni tafadhali
Hivi kwetu sio kituo cha Kwanza cha majaribio kweli?
 
Mmh, hii sasa kali mchele wa plastic tena makubwa bac
Mbona hata mayai fake yapo kibao na wanatengeneza hao hao wachina. Yaan baada ya miaka kumi mbele watu wataumwa magonjwa ya ajabu sana hasa wanaoishi sehemu za mijini
 
Afrika haina umoja hata kidogo, hawa wachina walipaswa kufungiwa kufanya biashara na afrika.
 
Nigeria imekamata magunia 102 ya ''mchele wa plastiki'' yaliyokuwa yanaingizwa nchini humo na wafanyabiashara haramu ambao walitaka kuuza katika msimu huu wa sherehe, kulingana na afisa wa forodha katika mji mkuu wa nchi hiyo , Lagos.

Uchunguzi wa awali ulibaini kuwa mchele huo ulikuwa ni wa "plastiki'' ,baada ya kuuchemshwa, na kuoneka kuwa mkubwa zaidi ya mchele wa kawaida na ni Mungu tu anajua ni nini ambacho kingetokea kama ungeliwa na binadamu ", Haruna Mamudu aliongeza katika kauli yake juu ya tukio hilo.

Aliwawaonya wahujumu wa uchumi ambao wanangalia kipindi hiki cha sherehe kama njia za kupata mapato kwa udanganyifu kuwa watakabiliwa na mkono wa sheria.

Bwana Mamudu hakuelezea ni vipi mchele huo wa plastiki ulitengenezwa lakini ulikua na nembo iliyoandikwa "Best Tomato Rice".

Uchunguzi unaendelea kutambua ni kiwango gani cha mchele huo kimekuwa kikiuzwa na ni vipi unaweza kuondolewa sokoni ili kulinda afya za raia wa Nigeria waliokwisha utumia na kuwapeleka wahusika wa biashara hiyo haramu mbele ya sheria".

Nchini Uchina, kuliwahi kuwa na sakata ya chakula mwaka jana baada ya kubainika kuwa kuwepo kwa mchele uliotengenezwa kwa plastiki.

Chanzo: BBC
 
Wakati mwingine vyombo vya habari vya nagharibi uweka chumvi mno au kutaka kuwaribia biashara Wachina.

Plastic ambazo ni byproduct za Petroleum zinawezaje kubadirishwa kuwa chakula?

Sayansi ya wapi hiyo! Zamani Wajapan waliwahi kuipatia Tanzania rice ulikuwa ni tofauti na mchele tulio uzoea ukipikwa ulikuwa inakuwa mkubwa zaidi lakini hilo alimaanishi ulikuwa ni mchele uliotokana wa plastic.
Kitumbo au ule thailand
 
Wakati mwingine vyombo vya habari vya nagharibi uweka chumvi mno au kutaka kuwaribia biashara Wachina.

Plastic ambazo ni byproduct za Petroleum zinawezaje kubadirishwa kuwa chakula?

Sayansi ya wapi hiyo! Zamani Wajapan waliwahi kuipatia Tanzania rice ulikuwa ni tofauti na mchele tulio uzoea ukipikwa ulikuwa inakuwa mkubwa zaidi lakini hilo alimaanishi ulikuwa ni mchele uliotokana wa plastic.
Kweli kabisa, haiwezekani kabisa plastiki ikageuka food material. Kwanza haiwezi kuiva zaidi ya kuyeyuka
 
Na tunavyopenda cha juu sasaa.Ni Mungu tu wa kutulinda.Yaani confidence na watawala wetu sina kabisa.Zilikuwepo taarifa hapo nyuma kwamba mchele huu ulishawahi kuwepo hapa nchini.Kama ni kweli au vipi sijui.
duh... sijui hapa kwetu yameshaingia matani mangapi.....??
 
nadhani namna nzuri ya sisi watanzania ku-check kama mchele ulionunua ni wa plastic au la ni kuchukua sample ndogo ya mchele ulionunua na kuuchoma kwenye kikaangio ili kuona matokeo kama nu kuwa liquid au kubaki solid na kuungua kuwa mweusi. Simple!
 
Na tunavyopenda cha juu sasaa.Ni Mungu tu wa kutulinda.Yaani confidence na watawala wetu sina kabisa.Zilikuwepo taarifa hapo nyuma kwamba mchele huu ulishawahi kuwepo hapa nchini.Kama ni kweli au vipi sijui.
Acha kabisa, usemavyo ni sahihi kabisa, kuna sijui tbs lakini je inafanya nini hata kwa bidhaa zingine? Maana mchele huu unaweza kuingizia kisha ukafanywa kama wa ndani maana hakuna udhibiti making kwa bidhaa za kilimo na vitu kama hivyo.....
 
Back
Top Bottom