Maafisa Utumishi wagoma kuruhusu Mabenki kutoa mikopo ya watumishi. Yawezekana ni hujuma?

Usiwe mbishi mkuu, mm mwenyewe ni muhanga wa hiyo taarifa uliyotoa. Na hicho nilichokuambia ndicho sababu. Sasa kama unadhani kuna sababu nyingine endelea kusubiri.
Kwa maoni yako, hilo tangazo linakidhi kama majibu sahihi kwa mada yangu? Jamani, tuweni wakweli!!! Tuna Manesi,waalimu hata hicho chuo kikuu na loan bodi zako hawavijui, wanahusikaje? Watanzania ni nini kimetupata kwenye bongo zetu?
 
Kwa maoni yako, hilo tangazo linakidhi kama majibu sahihi kwa mada yangu? Jamani, tuweni wakweli!!! Tuna Manesi,waalimu hata hicho chuo kikuu na loan bodi zako hawavijui, wanahusikaje? Watanzania ni nini kimetupata kwenye bongo zetu?
Sasa mkuu wewe umeuliza Maswali kwenye forum ukiwa na expectation ya kupata majibu,then majibu yanatolewa na wadau kwendana na uelewa wao juu ya jambo husika alafu unayapinga as if you know something-Share unachokijua kila mtu aelewe
 
Sasa mkuu wewe umeuliza Maswali kwenye forum ukiwa na expectation ya kupata majibu,then majibu yanatolewa na wadau kwendana na uelewa wao juu ya jambo husika alafu unayapinga as if you know something-Share unachokijua kila mtu aelewe
Ha ha ha , Jamii Forum bana.
 
Kwa maoni yako, hilo tangazo linakidhi kama majibu sahihi kwa mada yangu? Jamani, tuweni wakweli!!! Tuna Manesi,waalimu hata hicho chuo kikuu na loan bodi zako hawavijui, wanahusikaje? Watanzania ni nini kimetupata kwenye bongo zetu?
Wee jamaa sijui huwa unasoma ukaelewa tunachokwambia?? Tumeshakwambia asilimia kubwa ya watumishi ni wadaiwa, ww bado hutakii tuu??? Tumekwambia kwa nchi zetu hizi jambo likishaathiri walio wengi hata wachache pia huathirika. Ww bado tuu hutaki kuelewa daah, kazi kweli kweli.
 
Wee jamaa sijui huwa unasoma ukaelewa tunachokwambia?? Tumeshakwambia asilimia kubwa ya watumishi ni wadaiwa, ww bado hutakii tuu??? Tumekwambia kwa nchi zetu hizi jambo likishaathiri walio wengi hata wachache pia huathirika. Ww bado tuu hutaki kuelewa daah, kazi kweli kweli.
Mkuu nakushauri unapokuwa unaelewesha uwe mvumilivu,
Binadam ndio 'complex Organism' kati ya viumbe woote. Relax endelea kutupa elimu.
 
Wee jamaa sijui huwa unasoma ukaelewa tunachokwambia?? Tumeshakwambia asilimia kubwa ya watumishi ni wadaiwa, ww bado hutakii tuu??? Tumekwambia kwa nchi zetu hizi jambo likishaathiri walio wengi hata wachache pia huathirika. Ww bado tuu hutaki kuelewa daah, kazi kweli kweli.
Wee rafiki, uliwahi kukutana na sura ya mzazi akikuomba fedha Ya kukamilisha ada ya mwaka wa mwisho (wa tano) ya mtoto wake aliyesimamishwa masomo ya udakitari?
 
Jambo hili kwakweli litazamwe vizuri na taarifa sahihi kutolewa na wahusika kuepuka sintofahamu iliyopo maana mikopo ni sehemu ya mipango ya maendeleo ya mtu kwa dhamana aliyonayo
 
Lawson wiki ya nne sasa haupatikani benki zote nchi nzima wanalalamikia.Wanashindwa kutoa hudumia kwa Wateja wao na Waziri wa Fedha hana habari kalala usingizi wa pono.Africa tunashida sana ya Uongozi Wananchi hii wiki ya nne wanapata shida wao poa tuu kwa vile wanamishahara na marupurupu ya kufa mtu.
 
Maafisa wa Mabenki idara za mikopo nchi nzima wanalalamikia mfumo wa Lawson.Haufanyikazi wiki ya nne Waziri yupo poa tu na familia yake.Hakumbuki mauvimi na shida wanazo pata Watanzania.Mabenki wanapata hasara kwa ujinga huo hawajali kabisa.Tuwe na huruma kwa Wenzetu siyo kujijali nyinyi kwa vile mnapapa.Mshara,V8,ulinzi na malupulupu makubwa
 
Mfano Mwalimu wa shule ya yupo huko Mtwara ndani kabisa aje Mjini.Kila ajika mfumo wa Lawson haufaji kazi.Anapitia maumivu gani jamani.Mh.Rais Samia Suruhu Hasani na Waziri wa Fedha mfanyie chukueni hatua mapema.
 
Basi wilaya husika inamatatizo kwamba,afisa utumishi hataki so mshara wakatwa wake? Ni ujinga tu wakikua wataacha
 
Unaongea jambo ambalo hulijui

Kwa taarifa yako toka week iliyopita kulikuwa na tatizo la mfumo Utumishi hivyo hata kuingia kwenye accaunt za watumishi ufanye chochote ilishindikana, sasa ulitaka upewe tu pesa za watu wakati hawaja allocate makato kwenye system??
We Popoma Naipendatz na wewe Scaramanga bado mnabisha kuwa lawson ilikuwa na tatizo?
 
Back
Top Bottom