Habari za muda huu ndugu zangu, nimepokea kwa masikitiko makubwa ujumbe kutoka kwa mwalimu alieenda kujiendelezA, na baada ya kurudi ametumikia miaka minne,.ila leo amenyimwa daraja (kupandshwa cheo) na wakati Ni haki yake.
Baada ya kuuliza kwa kina wamemjibu kuwa inabidi atumikie miaka mingine minne ndo watampandisha..
Waliofanyiwa mchezo huo hayuko mmoja wapo zaidi ya walimu ishirini ,..na hakuna wa kuwatetea maskini ya mungu..wanalia na mungu wao tu..kwa uonevu ambao maafisa TSD ambayo kwa Sasa Ni TSC same...
Adui wa mwalimu Ni mwalimu mwenzie..
CWT mpo wapi,?..mnashindwa kuwatetea walimu..mnachojua nyie ni kukusanya michango tu ya walimu..ipo siku nyundo itawashukia wote mnaohusika kukandamiza walimu kwa namna moja ama nyingine..
Baada ya kuuliza kwa kina wamemjibu kuwa inabidi atumikie miaka mingine minne ndo watampandisha..
Waliofanyiwa mchezo huo hayuko mmoja wapo zaidi ya walimu ishirini ,..na hakuna wa kuwatetea maskini ya mungu..wanalia na mungu wao tu..kwa uonevu ambao maafisa TSD ambayo kwa Sasa Ni TSC same...
Adui wa mwalimu Ni mwalimu mwenzie..
CWT mpo wapi,?..mnashindwa kuwatetea walimu..mnachojua nyie ni kukusanya michango tu ya walimu..ipo siku nyundo itawashukia wote mnaohusika kukandamiza walimu kwa namna moja ama nyingine..