habari kutoka chanzo cha kuaminika ni kuwa kuna baadhi ya maafisa mafisadi wa manispaa ya jiji la arusha wanaohusika na uuzaji wa viwanja vya wazi na kuwafanyia mipango wateja wao hadi kupata hati wamo mbioni katika kuchukuliwa hatua kali, majina yao na nyadhifa zao zitawekwa punde,
Still evolving
Still evolving