VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Majuzi tu tumeshuhudia mamia ya watu kupoteza maisha yao kule Zanzibar na Kenya. Mungu awarehemu waliofariki na awafariji sana wafiwa. Poleni sana
Wiki chache zilizopita tulishuhudia dhoruba kubwa iliyosababishwa na Hurricane Irene kule USA. Kana kwamba haitoshi, kulikuwa na tetemeko la ardhi lililosababisha hasara ktk sehemu mbalimbali za East coast kuanzia Virginia hadi Maine. Vile vile kumekuwa na mafuriko yanayoendelea hadi sasa ambayo yameleta uharibifu mkubwa hasa kule Vermont.
Swali: Kuna watu waliokuja hapa jamvini na kudai kwa nguvu zote kuwa hizo dhoruba na maafa yaliotokea USA ni sababu ya laana ya kumvamia na kumwondoa Colonel Ghadaffi. Sasa haya maafa ya kule Zanzibar na Kenya ni laana ya nini? Kuna wanaosema eti ni laana ya kuwachomea moto wafanyabiashara wenye bar na vilabu vya pombe kule Zanzibar.
Nawasilisha
Wiki chache zilizopita tulishuhudia dhoruba kubwa iliyosababishwa na Hurricane Irene kule USA. Kana kwamba haitoshi, kulikuwa na tetemeko la ardhi lililosababisha hasara ktk sehemu mbalimbali za East coast kuanzia Virginia hadi Maine. Vile vile kumekuwa na mafuriko yanayoendelea hadi sasa ambayo yameleta uharibifu mkubwa hasa kule Vermont.
Swali: Kuna watu waliokuja hapa jamvini na kudai kwa nguvu zote kuwa hizo dhoruba na maafa yaliotokea USA ni sababu ya laana ya kumvamia na kumwondoa Colonel Ghadaffi. Sasa haya maafa ya kule Zanzibar na Kenya ni laana ya nini? Kuna wanaosema eti ni laana ya kuwachomea moto wafanyabiashara wenye bar na vilabu vya pombe kule Zanzibar.
Nawasilisha