Maafa makubwa kutokea serikali ikijaribu kufanya haya kwenye mgomo wa madaktari


CRAAAAAAAAP. Hakuna kitu hapo ulichoandika zaidi yakuandika makala ndefu na ***** mtupu. Wafukuzwe na washitakiwe. Na wakija huku mtaani waje wapambane na sie magwiji wa Street University,wataomba wao wenyewe kurudi


We dume la mbegu thaifu huwa unaniboa unapomwaga shahawa kwenye post zako insteady of ideas, u are thnking caudal and all ur brain is located in genitalia
 
Mgomo haujaanza hali ni mbaya.sasa wakigoma na kufukuzwa itakuwaje jamani.
Nadhani Disaster inainyemelea TZ.
 
Naona madaktari wa serikali wana overstate uwezo wao.

Watanzania wengi hawatibiwi hospitali za serikali kwa sababu ya rushwa,kukosekana dawa na umbali ziliko hospitali hizo.Wengi siku hizi wanaponea mitishamba,kwa waganga wa kienyeji na kichina,hospitali binafsi kwa mashehe na viongozi wa makanisa.Ndio maana wenye shida siku hizi wamejaa makanisani kusaka maombezi na kwenye dawa za kichina.Sekta ya Afya ya serikali ni kama inakufa na wanaoua ni madaktari.Uliza maskini kabisa anayeenda kutibiwa hospitali ya serikali akapata panadol bure ni wangapi hata kama panadol zimejaa kwenye maghala.

Kaangalie hospitali binafsi wanakoenda kutibu hao madaktari wa hospitali za serikali part time vifaa wanavyoenda navyo na dawa zilizoko huko katika hospitali na maduka ya dawa ya kwao huwa wanazitoa wapi kama hujakuta wanakwapua hospitalini wanakofanyia kazi.Hebu ufanyike ukaguzi kwenye maduka na majumbani mwao kama havitakutwa vitu vya mahospitalini ya serikali.

Kuhusu kulipwa mishahara midogo si hoja kama walikuwa wanataka mishahara mikubwa ziko fani nyingi tu wangechukua hizo.Kusoma ni kujiwekeza (You invest in yourself) Kama ni mtafuta pesa ilikuwa uchuje fani gani uende kuliko kwenda ili mradi halafu baadaye usumbue mwajiri wako.Hakuna aliyewashinikiza kuwa wasomee madaktari.Udaktari unabaki wito mtaka pesa ni vizuri akaondoka akaacha udaktari aende TRA,BOT,TANAPA na huko BUNGENI kuliko kubaki kwenye corridor za Muhimbili na koti jeupe akijifanya daktari wakati hatibu hata nzi.Waondoke mhimbili haraka. Natamani wagonjwa vichaa wa muhimbili wangewatokea na nondo wawakimbize madaktari waliogoma muhimbili.

Serikali isitishiwe nyau. Tofauti ya kuwa na madaktari na kutokuwa nao sasa ni nini? sasa hivi hawatibu watu ni sawa tu na wakiwa hawapo.Saidi MWEMA peleka vijana wako wakawakimbize na virungu ni heri tujue tu muhimbili hamna madaktari kuliko kuwa na wazagaa mawodini wenye makoti meupe wasiotibu.Mtu anayeona udaktari haulipi aambiwe wazi bila kumeza maneno nenda huko kwenye mishahara mikubwa funga virago kwenda zako na usije omba kuajiriwa sekta ya afya tena hata hospitali binafsi huruhusiwi kufanya kazi au kuanzisha sababu una sifa ya kuua wagonjwa kwa migomo.Kwani iko siku madaktari wa namna hii hata wakienda hospitali binafsi za kwao watakuja kugoma kutibu sababu maslahi madogo biashara ya dawa na ada za kutoza wagonjwa hazilipi hivyo kuendeleza vifo vya wagonjwa tu.SERIKALI WAKE UP.
mpumbavu mkubwa waliokutuma waambie wakufundishe kujenga hoja,sisemi madaktari walipwe hivi lakini angalia marekani wanavyojali rahia wenye professional na sio siasa
Top Ten Best Paid Jobs in the USA
1. Surgeons ($206,770)
2. Anesthesiologists ($197,570)
3. Orthodontists ($194,930)
4. Obstetrician and gynecologists ($192,780)
5. Oral and maxillofacial surgeons ($190,420)
6. General Internists ($176,740)
7. Prosthodontists ($168,810)
8. Other Physicians and Surgeons ($165,000)
9. Family and General Practitioners ($161,490)
10. Chief Executives ($160,440)
For info.:
12. Psychiatrists ($154,050)
16. Lawyers ($124,750)
19. Airline Pilot ($119,750)
21. Computer and Information Systems Managers ($118,710)
24. Sales Managers ($110,390)
Top Ten Worst Paid Jobs in the USA
1. Combined food-preparation and service workers, ($17,400)
2. Cooks, fast food ($17,620)
3. Dishwashers ($17,750)
4. Dining room/cafeteria attendants, bartender helpers ($18,140)
5. Shampooers ($18,300)
6. Counter attendants ($18,520)
7. Hosts and Hostesses Restaurants ($18,570)
8. Cashiers ($18,880)
9. Amusement and RecreationAttendants ($18,930)
10. Ushers, Lobby Attendants, Ticket Takers ($19,100)
Top Ten Best Paid Jobs in the USA
1. Surgeons ($206,770)
2. Anesthesiologists ($197,570)
3. Orthodontists ($194,930)
4. Obstetrician and gynecologists ($192,780)
5. Oral and maxillofacial surgeons ($190,420)
6. General Internists ($176,740)
7. Prosthodontists ($168,810)
8. Other Physicians and Surgeons ($165,000)
9. Family and General Practitioners ($161,490)
10. Chief Executives ($160,440)
12. Psychiatrists ($154,050)
16. Lawyers ($124,750)
19. Airline Pilot ($119,750)
21. Computer and Information Systems Managers ($118,710)
24. Sales Managers ($110,390)
Top Ten Worst Paid Jobs in the USA
1. Combined food-preparation and service workers, ($17,400)
2. Cooks, fast food ($17,620)
3. Dishwashers ($17,750)
4. Dining room/cafeteria attendants, bartender helpers ($18,140)
5. Shampooers ($18,300)
6. Counter attendants ($18,520)
7. Hosts and Hostesses Restaurants ($18,570)
8. Cashiers ($18,880)
9. Amusement and RecreationAttendants ($18,930)
10. Ushers, Lobby Attendants, Ticket Takers ($19,100)
 
"Tukumbuke na kwa wengine wasio elewa , . . Kila kiapo kinaelekezwa kwa upande wa pili, ambao nao unawajibika kuhitimisha mazingira ya kufanya utekelezaji wa kiapo chochote uwe wa haki na halali kwa pande zote husika.

Madaktari hawakula kiapo cha kuishi katika Mazingira magumu na Hatarishi, mafao duni na ahadi za uongo.
Ajenda yoyote ya kiapo katika hili la madaktari ni lazima itekelezwe na pande zote mbili zilizo husika.
Madaktari walikula kiapo kwa serikali ambayo kwa upande wake ndiyo inawakilisha wananchi wote wa Tanzania, serikali nayo kwa muafaka wa kukubali kiapo hicho ina wajibika kutimiza mazingira ya kuwezesha kutekeleza kiapo hicho, . . serikali hadi sasa imeshindwa kutekeleza majukumu yake kwa mdau wa kiapo, na hivyo imeshindwa kutekeleza ahadi yake kwetu sote ambao ndio wenye serikali"
Mnzava, Wanabidii.
 

CRAAAAAAAAP. Hakuna kitu hapo ulichoandika zaidi yakuandika makala ndefu na ***** mtupu. Wafukuzwe na washitakiwe. Na wakija huku mtaani waje wapambane na sie magwiji wa Street University,wataomba wao wenyewe kurudi



usipende kuandika ujinga kwenye mitandao ya kijamii!haya mambo hayawezi kusolviwa kihuni ka unavyodhani, watu wanafanya kazi na taaluma zao, wanajua haki zao, na wanajua wanachokifanya!so usihisi fukuzafukuza ilishawahi kuwa suluhu duniani kote!

fikiri hata mfano mdogo vyuoni, wamefukuza wanafunzi wangapi so far tangu miaka ya 70 na je migomo imeisha? suala la msingi ni kwenda kwenye mzizi wa tatizo na kupata utatuzi!
 
CHADEMA wanataka kutumia maisha ya watanzania kujitafutia umaarufu wa kisiasa! Hili litawagharimu sana baadaye!

Unashindwa kuweka msingi wa malezi kwa familia yako, halafu unamsingizia jirani. Sasa subiri watoto wote na mama yao wakikugeuka.
 
mpumbavu mkubwa waliokutuma waambie wakufundishe kujenga hoja,sisemi madaktari walipwe hivi lakini angalia marekani wanavyojali rahia wenye professional na sio siasa
Top Ten Best Paid Jobs in the USA
1. Surgeons ($206,770)
2. Anesthesiologists ($197,570)
3. Orthodontists ($194,930)
4. Obstetrician and gynecologists ($192,780)
5. Oral and maxillofacial surgeons ($190,420)
6. General Internists ($176,740)
7. Prosthodontists ($168,810)
8. Other Physicians and Surgeons ($165,000)
9. Family and General Practitioners ($161,490)
10. Chief Executives ($160,440)
For info.:
12. Psychiatrists ($154,050)
16. Lawyers ($124,750)
19. Airline Pilot ($119,750)
21. Computer and Information Systems Managers ($118,710)
24. Sales Managers ($110,390)
Top Ten Worst Paid Jobs in the USA
1. Combined food-preparation and service workers, ($17,400)
2. Cooks, fast food ($17,620)
3. Dishwashers ($17,750)
4. Dining room/cafeteria attendants, bartender helpers ($18,140)
5. Shampooers ($18,300)
6. Counter attendants ($18,520)
7. Hosts and Hostesses Restaurants ($18,570)
8. Cashiers ($18,880)
9. Amusement and RecreationAttendants ($18,930)
10. Ushers, Lobby Attendants, Ticket Takers ($19,100)
Top Ten Best Paid Jobs in the USA
1. Surgeons ($206,770)
2. Anesthesiologists ($197,570)
3. Orthodontists ($194,930)
4. Obstetrician and gynecologists ($192,780)
5. Oral and maxillofacial surgeons ($190,420)
6. General Internists ($176,740)
7. Prosthodontists ($168,810)
8. Other Physicians and Surgeons ($165,000)
9. Family and General Practitioners ($161,490)
10. Chief Executives ($160,440)
12. Psychiatrists ($154,050)
16. Lawyers ($124,750)
19. Airline Pilot ($119,750)
21. Computer and Information Systems Managers ($118,710)
24. Sales Managers ($110,390)
Top Ten Worst Paid Jobs in the USA
1. Combined food-preparation and service workers, ($17,400)
2. Cooks, fast food ($17,620)
3. Dishwashers ($17,750)
4. Dining room/cafeteria attendants, bartender helpers ($18,140)
5. Shampooers ($18,300)
6. Counter attendants ($18,520)
7. Hosts and Hostesses Restaurants ($18,570)
8. Cashiers ($18,880)
9. Amusement and RecreationAttendants ($18,930)
10. Ushers, Lobby Attendants, Ticket Takers ($19,100)

Wewe ndio mpumbavu kama marekani wanajali wahi huko uende haraka huko kama una soko.Usibaki hapa kutusumbua.Nenda huko upesi next flight uende.Hatujakulazimisha uishi hapa.Ndio maana serikali hutoa passport ili watu watimue.
 
Kwa taarifa yako mleta mada huko Europe na US wapo madaktari ambao wanaweza kuja kufanya kazi kama volunteers hata bure hapa kwetu kwa kutambua kama nchi yenyewe ni maskini. Ni serikali tu kuomba huo msaada na jamaa wanatua hapa.

Hao wa Ulaya wamezoea kufanya kazi kwa appointment. Kwenda Hospitali kwetu sisi ni tofauti kabisa na huko Europe ama Marekani, huwa kuna Emergency Hospital na nyingine zote unaenda kwa Dr ndiyo unapewa ahadi lini na saa ngapi uende na anakaa na wewe masaa. Sasa hapa kwenye lundo la wagonjwa serious kila siku na miundombinu mibovu tuliyonayo hawataweza fanya kazi hii. Pia ni wachache sana (tena kwaajili ya nchi yao) wanaojua magonjwa ya Tropical (Tropical Diseases Specialist). Pia wengi wamebobea eneo flani tu, wetu huwa wanajitahidi kutibu a wide range of diseases. Kule ukikuta wa Mafua koo na meno hawezi kabisa kumuhudumia wa kuhara, Malaria ama mengineyo.

TUKUBALI TU YAISHE, SERIKALI NDIYO IMELETA SIASA KWENYE HUU MGOGORO. NA HILI LIWE FUNDISHO
 
wewe ndio mpumbavu kama marekani wanajali wahi huko uende haraka huko kama una soko.usibaki hapa kutusumbua.nenda huko upesi next flight uende.hatujakulazimisha uishi hapa.ndio maana serikali hutoa passport ili watu watimue.
haya ndo majibu mepesi ya viongozi wa serikali,
mbona nyie kwenye siasa hamuendi kufanyia huko nje ya nchi mnang'ang'ania hapa tanganyika, why? kwanini?
serikali ni nani hadi itoe passport za kuwafukuza raia?
 
Kwa taarifa yako mleta mada huko Europe na US wapo madaktari ambao wanaweza kuja kufanya kazi kama volunteers hata bure hapa kwetu kwa kutambua kama nchi yenyewe ni maskini. Ni serikali tu kuomba huo msaada na jamaa wanatua hapa.[/QUOTE

Na watafanya kwa muda gani? wiki, miezi, mwaka au miaka?? Na kwa sababu ipi nzito? Udhaifu wenu katika uongozi?? Tumia akili kufikiria.
 

CRAAAAAAAAP. Hakuna kitu hapo ulichoandika zaidi yakuandika makala ndefu na ***** mtupu. Wafukuzwe na washitakiwe. Na wakija huku mtaani waje wapambane na sie magwiji wa Street University,wataomba wao wenyewe kurudi


naona we kila sehemu unachangia kwa kutumia masaburi ...we fikiria kwanza kabla hujaropoka ....
 
Tatizo viongozi wetu wapo kwa maslahi yao binafsi, ndiyo maana hawana wanachofikiri chochote cha kuwahusu wananchi. Nawaunga mkono madaktari

Madaktari hawa hawapendi kufanya kazi sasa ili wasifanye kazi wanasingizia mgomo. na inawezekana wana roho za kichawi za kufurahi watu wanapokufa!. Tumwogope Mungu kwakuwa tumeamliwa kuitii kila mamlaka. mamlaka imewaweka nyie muwe madaktari ili mfanye kazi ya kutibu watu. pia mnao waumiza ndiyo ambao kodi zao mlisomeshewa nyie.
 
Naona madaktari wa serikali wana overstate uwezo wao.

Watanzania wengi hawatibiwi hospitali za serikali kwa sababu ya rushwa,kukosekana dawa na umbali ziliko hospitali hizo.Wengi siku hizi wanaponea mitishamba,kwa waganga wa kienyeji na kichina,hospitali binafsi kwa mashehe na viongozi wa makanisa.Ndio maana wenye shida siku hizi wamejaa makanisani kusaka maombezi na kwenye dawa za kichina.Sekta ya Afya ya serikali ni kama inakufa na wanaoua ni madaktari.Uliza maskini kabisa anayeenda kutibiwa hospitali ya serikali akapata panadol bure ni wangapi hata kama panadol zimejaa kwenye maghala.

Kaangalie hospitali binafsi wanakoenda kutibu hao madaktari wa hospitali za serikali part time vifaa wanavyoenda navyo na dawa zilizoko huko katika hospitali na maduka ya dawa ya kwao huwa wanazitoa wapi kama hujakuta wanakwapua hospitalini wanakofanyia kazi.Hebu ufanyike ukaguzi kwenye maduka na majumbani mwao kama havitakutwa vitu vya mahospitalini ya serikali.

Kuhusu kulipwa mishahara midogo si hoja kama walikuwa wanataka mishahara mikubwa ziko fani nyingi tu wangechukua hizo.Kusoma ni kujiwekeza (You invest in yourself) Kama ni mtafuta pesa ilikuwa uchuje fani gani uende kuliko kwenda ili mradi halafu baadaye usumbue mwajiri wako.Hakuna aliyewashinikiza kuwa wasomee madaktari.Udaktari unabaki wito mtaka pesa ni vizuri akaondoka akaacha udaktari aende TRA,BOT,TANAPA na huko BUNGENI kuliko kubaki kwenye corridor za Muhimbili na koti jeupe akijifanya daktari wakati hatibu hata nzi.Waondoke mhimbili haraka. Natamani wagonjwa vichaa wa muhimbili wangewatokea na nondo wawakimbize madaktari waliogoma muhimbili.

Serikali isitishiwe nyau. Tofauti ya kuwa na madaktari na kutokuwa nao sasa ni nini? sasa hivi hawatibu watu ni sawa tu na wakiwa hawapo.Saidi MWEMA peleka vijana wako wakawakimbize na virungu ni heri tujue tu muhimbili hamna madaktari kuliko kuwa na wazagaa mawodini wenye makoti meupe wasiotibu.Mtu anayeona udaktari haulipi aambiwe wazi bila kumeza maneno nenda huko kwenye mishahara mikubwa funga virago kwenda zako na usije omba kuajiriwa sekta ya afya tena hata hospitali binafsi huruhusiwi kufanya kazi au kuanzisha sababu una sifa ya kuua wagonjwa kwa migomo.Kwani iko siku madaktari wa namna hii hata wakienda hospitali binafsi za kwao watakuja kugoma kutibu sababu maslahi madogo biashara ya dawa na ada za kutoza wagonjwa hazilipi hivyo kuendeleza vifo vya wagonjwa tu.SERIKALI WAKE UP.
Kingadvisor umesema kweli!. Marekani na ulaya, daktari ndio most important professional na ndio top paying job kwa sababu it saves lives!. Kwa wenzetu life ndio kitu cha thamani kuliko kitu chochote na ndio maana nchi za Ulaya hakuna adhabu ya kifo!. Afrika nadhani ni Afrika Kusini na Namibia hakuna adhabu hiyo.

Kwa Tanzania life is not a big deal ndio maana polisi, magereza, Tiss, wanajiulia tuu and no body cares!. Hao madaktari wanagoma ili watu wafe!. Wanafikiri watu wakifa ndio someone cares?. No body cares, serikali doesn't care at all!. Madaktari gomeni mpate haki zenu anf this time mtapata mnachotaka!. Watakaokufa kwa mgomo huu, itakuwa ndio saa yao walioandikiwa imetimia hata madaktari wasingegoma, bado tuu hao wa kifa wangekufa tuu!.

Serikali timizeni wajibu wenu!. Wapatieni madaktari haki zao zote kwa mujibu wa makubaliano yenu, bali pia muwapatie na stahili zao kwa mujibu wa viapo vyao!. Kama walikula viapo vya "to save lives" no matter what, then there must be someone held accountable for every loss of life caused by mgomo huu and if possible be liable before the court of law of competant jurisdiction!.

We Tanzanians as good citizens of this nation, we should not tolerate this nonsense of playing with our peoples lives to go on like this!, even for a single more day!. We should do something!.
 
Wewe ni mwehu... hujui ukiongeacho



CRAAAAAAAAP. Hakuna kitu hapo ulichoandika zaidi yakuandika makala ndefu na ***** mtupu. Wafukuzwe na washitakiwe. Na wakija huku mtaani waje wapambane na sie magwiji wa Street University,wataomba wao wenyewe kurudi

 
Kuna wakati nikiona tangazo la ajira TANAPA, walikuwa wanahitaji katibu muhtasi.Mshahara ulikuwa laki 9 na ushee plus other benefit.

TANAPA hakuna mishahara mizuri. Nenda PPF, DG 15M, Directors 12M, Managers 7M, Other officers 2.5 6M, Drivers na secretaries 1M to 2M

Mnalialia na madaktari kwa nini?

Kama pesa wanazogawana wakurugenzi wa PPF kila baada ya miaka mitatu za Group Endowment (kati Tshs 220M na Tshs 540) kwa kila mmoja zingepelekwa kwa mahosipitalini si zingesaidia? Kikwete unaangalia tu Bwana Wiliam Erio Mkapa anavyofuja mali za walalahoi na kumchekea. TISS, TAKUKURU acheni hizo Tshs 500 za Arumeru, chunguza PPF kwa undani.

Madakari michango yenu ya PPF inaliwa na wakurugenzi wa PPF, mkistaafu mjiandae maisha duni

Nawasilisha
 
@Pasco

1. Kama walikula viapo vya "to save lives" no matter whatSave lives with what? Kama daktari hana x-ray atampima mgonjwa kwa kupiga ramli? Kama hana dawa ambebe mgonjwa mgongoni na kumpeleka Apollo? Ni watu wangapi wanakufa kwa kukosa dawa?

2. then there must be someone held accountable for every loss of life caused by mgomo huu
Absolutely, and that person is the government the collects taxes.

3. We Tanzanians as good citizens of this nation, we should not tolerate this nonsense of playing with our peoples lives to go on like this!, even for a single more day!. We should do something! - like what? Pinda aliahidi nini kwenye mkutano wake wa Feb 9 na madaktari na amefanya nini? Ameongeza dawa? kaleta vitanda? Au alikuwa busy anafanya mahesabu ya nyongeza za posho kwa wabunge kabla ya kuzimwa na rais?

Serikali haina moral authority kabisa kwenye hii saga kusema kuwa madaktari wanawaumiza watanzania. Hawana! Serikali tangu lini ikawajali watanzania? tangu lini ikaonesha kuthamini maisha ya wapiga kura? Kwa kuwatandika rasasi? Kuwalaza wagonjwa chini?
 
Wewe ndio mpumbavu kama marekani wanajali wahi huko uende haraka huko kama una soko.Usibaki hapa kutusumbua.Nenda huko upesi next flight uende.Hatujakulazimisha uishi hapa.Ndio maana serikali hutoa passport ili watu watimue.

mwaka huu hauishi nitakuwa nimeondoka namalizia maandalizi ya USMLE and PLAB,Lakini kabla sijaondoka lazima ni hakikishe watanzania wanapata tiba ya uhakika na madaktari wanafurahia kazi yao
 
mwaka huu hauishi nitakuwa nimeondoka namalizia maandalizi ya USMLE and PLAB,Lakini kabla sijaondoka lazima ni hakikishe watanzania wanapata tiba ya uhakika na madaktari wanafurahia kazi yao

Safari njema msalimie Obama.
 
Back
Top Bottom