Maafa,maafa, maafa, nani anafuata?

Gama

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
13,267
4,715
Mali ya spice islander imezama, watu zaidi ya 100 wateketea kwa moto - kenya, watu 250 wateketea kwa moto DRC, soko la mbeya lateketea kwa moto, ndege yaanguka- wanne wanusurika, ndege yaanguka Angola- abiria wote wapoteza maisha, chombo chazama Pemba- abiria wanusurika....... Whose next.
 
Mali ya spice islander imezama, watu zaidi ya 100 wateketea kwa moto - kenya, watu 250 wateketea kwa moto DRC, soko la mbeya lateketea kwa moto....... Whose next.

Hivi haya matukio hayakutabiriwa na Marehemu Sheikh Yahya kweli..........................
 
Huu mwezi kuna majanga kwa kweli, tuombe Mungu tuumalize salama.
 
Hakina geni hapa,and as we go towards 21 December 2012,the intensity wil increase.Note that date 21 December 2011,it is a very significant one.
Mali ya spice islander imezama, watu zaidi ya 100 wateketea kwa moto - kenya, watu 250 wateketea kwa moto DRC, soko la mbeya lateketea kwa moto, ndege yaanguka- wanne wanusurika, ndege yaanguka Angola- abiria wote wapoteza maisha, chombo chazama Pemba- abiria wanusurika....... Whose next.
 
Hakina geni hapa,and as we go towards 21 December 2012,the intensity wil increase.Note that date 21 December 2011,it is a very significant one.

bila shaka unataka kuleta ile kitu yenu inayoitwa freemason,......mhhhhhhhhhhh
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom