Maadili ya Uongozi: Naibu Waziri Abdallah Hamis Ulega, hapa ulikuwa unamaanisha nini?

Pfizer

JF-Expert Member
Mar 25, 2021
292
505
Wanajamvi,

Nimeshangaa na Kushituka kusikia sauti ya Naibu waziri wizara ya Mifugo na uvuvi (MUV) Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Hamis Ulega akiongea mambo ya ajabu bila hata kuhofia vyombo vya dola

Nikajiuliza Maswali mengi. Je, Maadili ya Viongozi yameishia wapi?


Je Siasa za Tanzania zimebadilika? Baadaye nikasikiliza hii audio ya Whatsapp
 
Wanajamvi,

Nimeshangaa na Kushituka kusikia sauti ya Naibu waziri wizara ya Mifugo na uvuvi (MUV) Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Hamis Ulega akiongea mambo ya ajabu bila hata kuhofia vyombo vya dola

Nikajiuliza Maswali mengi. Je, Maadili ya Viongozi yameishia wapi?
Kwani wote tulikuwepo mkuu!!!
 
Wanajamvi,

Nimeshangaa na Kushituka kusikia sauti ya Naibu waziri wizara ya Mifugo na uvuvi (MUV) Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Hamis Ulega akiongea mambo ya ajabu bila hata kuhofia vyombo vya dola

Nikajiuliza Maswali mengi. Je, Maadili ya Viongozi yameishia wapi?
View attachment 1882280View attachment 1882281

Je Siasa za Tanzania zimebadilika? Baadaye nikasikiliza hii audio ya Whatsapp
View attachment 1882286
Kama ameongea lolote ungenukuu alichoongea.

Lakini hizi political smearing ni mbaya sana
 
Mimi nimesikiliza hizo audio ila sijajua anacholalamikia mleta mada ni kipi.
Mambo mengi yaliyolalamikiwa ni ya kawaida sana kwenye "fitina za kisiasa".

Siasa za Afrika sio smooth mkuu.

Na kama unaona Ulega anazingua, jaribu kwenda kuutaka Ubunge Kongwa kwa Mzee baba Sabufa ndio utajua hujui.

If you want to play a certain game, you first have to learn how to play it well.
 
Kwani manji walimfanya nini? Mbona inatisha hii , ila huyu jamaa anaroho mbaya sana.
 
Wanajamvi,

Nimeshangaa na Kushituka kusikia sauti ya Naibu waziri wizara ya Mifugo na uvuvi (MUV) Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Hamis Ulega akiongea mambo ya ajabu bila hata kuhofia vyombo vya dola

Nikajiuliza Maswali mengi. Je, Maadili ya Viongozi yameishia wapi?
View attachment 1882280View attachment 1882281

Je Siasa za Tanzania zimebadilika? Baadaye nikasikiliza hii audio ya Whatsapp
View attachment 1882286
Kuna tatizo kubwa sana ndani ya wanasiasa wa ccm.. Kwamba wakati wa uchaguzi kila siku alikuwa anatumia si chini ya milion 2 mpaka 5 kuhonga
 
Back
Top Bottom