The coolest jw
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 655
- 1,030
Ngoja tusubiri tamkoHkn jipy
Haya lowasa kuleni mema ya nchi.Mshahara unatosha. Akipandisha vitu vitspanda
Hivi vitu vilivyopanda bei Kwa sasa ni sababu ya ongezeko la mshahara au?Kupandisha mshahara ni jambo moja, lakini kupanda bei kwa vitu vingine sokoni ni kitu kingine chenye athari pacha.
Ili kutimiza tu wajibu serikali inaweza kutoa ongezeko kiduchu la mishahara "as response to inflationary effect". Lakini ongezeko hili halitaweza kuwa na maana yoyote ile ikiwa kama kila kitu sokoni kitapanda bei.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
In it's very nature, something is lagging behind in that scene!!!Naona jitihada kubwa inafanyika kuwaandaa na kuwahadaa wafanyakazi. I can observe a team of robotics has been dispatched for that purpose
Dada unatumia kichwa kufikiri, au matako yako. Mbona vitu vimeshapanda hadi nauli zimepanda?!.Mshahara unatosha. Akipandisha vitu vitspanda
Jinga wewe rudi darasaniWahenga walisema usiku wa deni haukawii kukucha. Leo wafanyakazi wa Tanzania wanaungana na wafanyakazi kutoka pembe zote za dunia kuadhimisha siku ya wafanyakazi, maarufu kama Mei Mosi. Mtakumbuka mwaka jana Rais wa Tanzania Hon Samia Suluhu Hassan aliaahidi kuwaongezea mishahara wafanyakazi siku ya leo tarehe 1/5/2022 kama alivyonukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari.
Leo ndio leo, asemaye kesho ni muwongo! Leo lazima mbivu na mbichi zijulikane. Lakini pamoja na ahadi hiyo ambayo Rais aliitoa kwa uhakika, wafanyakazi wajiandae kwa jibu lolote la kukera litakalotolewa siku ya leo kwani mvumilivu hula mbivu. Waendelee tu kuvumilia huku wakila mtori kwa kuwa nyama ziko chini. Unapokula mtori hupaswi kuwa na wasiwasi kwani baada ya kumaliza mtori utazikuta nyama tele chini ya bakuli.
Hata hivyo, habari zinazojipenyeza ni kuwa huenda vita ya Ukraine na Urusi ikachangia mama Samia kutokuwaongezea wafanyakazi mishahara kwa sababu vita hii imeangusha uchumi wa nchi zote duniani, ikiwemo Tanzania kama anavyotupenyezea taarifa mdau huyu hapa chini
Uhakika: Jinsi Vita ya Urusi na Ukraine Itakavyokwamisha Upandishaji wa Mishahara ya Wafanyakazi
Tuendelee kufuatilia nini kitakachotokea siku hii ya leo kwani ni siku mbayo ama wafanyakazi watalia au watatoka na kicheko. Stay tuned!