nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Kwanza naamini kabisa Wakurugenzi katika taasisi za Utangazaji za UMMA aidha hawajui wajibu wao katika uendeshaji wa vyombo vya umma hapa nnchini.
Nasema hayo kwasababu Mlimani TV na TBC Taifa /TV wamekua ni vinara wa kutuonyesha maadhimisho hyo hadi inakua kero, maana hata radio ya propaganda ya CCM Radio Uhuru wananafuu....
sasa mimi nauliza Je CHADEMA, CUF,DP nk watapewa nafasi ya kiwango hicho katika vyombo hivyo ambavyo ni mali ya UMMA ? ama itaishia kwa CCM...Je bado wanaamini Serilkali ya Tanzania inachama cha Siasa nacho ni CCM ?
Nasema hayo kwasababu Mlimani TV na TBC Taifa /TV wamekua ni vinara wa kutuonyesha maadhimisho hyo hadi inakua kero, maana hata radio ya propaganda ya CCM Radio Uhuru wananafuu....
sasa mimi nauliza Je CHADEMA, CUF,DP nk watapewa nafasi ya kiwango hicho katika vyombo hivyo ambavyo ni mali ya UMMA ? ama itaishia kwa CCM...Je bado wanaamini Serilkali ya Tanzania inachama cha Siasa nacho ni CCM ?