Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Heri ya siku kuu ya wafanyakazi! Hii ni siku iliyobeba matumaini makubwa kwa wafanyakazi wote Tanzania.
Baada ya kupandisha mishahara kwa mara ya mwisho July 2015 (by Kikwete) ni takribani miaka 6 sasa wafanyakazi wameambulia patupu.
Matarajio kutoka kwa Rais:
1. Kuhimiza kufanya kazi kwa weledi, juhudi na maarifa
2. Kupandisha kima cha chini cha mishahara
3. Kupandisha madaraja 'mseleleko' kwa ajira mpya za 2012 na 2013 ambao hawajawahi kupanda.
4. Kupandisha madaraja wafanyakazi wenye miaka zaidi ya minne kazini.
5. Kupandisha mishahara 'annual increments'
6. Kutoa ajira kwa wahitimu
7. Malipo ya wastaafu
8. Kurekebisha kikokotoo
9. Kupunguza makato ya HESLB
10. Kurekebisha sheria ya Fao la kujitoa
Tuna Imani na Samia
Baada ya kupandisha mishahara kwa mara ya mwisho July 2015 (by Kikwete) ni takribani miaka 6 sasa wafanyakazi wameambulia patupu.
Matarajio kutoka kwa Rais:
1. Kuhimiza kufanya kazi kwa weledi, juhudi na maarifa
2. Kupandisha kima cha chini cha mishahara
3. Kupandisha madaraja 'mseleleko' kwa ajira mpya za 2012 na 2013 ambao hawajawahi kupanda.
4. Kupandisha madaraja wafanyakazi wenye miaka zaidi ya minne kazini.
5. Kupandisha mishahara 'annual increments'
6. Kutoa ajira kwa wahitimu
7. Malipo ya wastaafu
8. Kurekebisha kikokotoo
9. Kupunguza makato ya HESLB
10. Kurekebisha sheria ya Fao la kujitoa
Tuna Imani na Samia