Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,705
- 4,739
Hata mei mosi anaweza asiwepo maana watumishi wanamsubiri sana anaweza ishia huko huko pole watumishi
Hata kama akiwepo watumishi wala hawamuhitaji isipokua viongozi wa watumishi wapige per diem