RUCCI
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 1,701
- 1,714
Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara yatafanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, Tarehe 9 Desemba, 2016.
Mgeni Rasmi katika sherehe hizi atakuwa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Kauli Mbiu: "Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na Tuimarishe Uchumi wa Viwanda kwa Maendeleo Yetu"
Mgeni Rasmi katika sherehe hizi atakuwa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Kauli Mbiu: "Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na Tuimarishe Uchumi wa Viwanda kwa Maendeleo Yetu"