Kwani wewe una mtazamo gani.Katika hotuba yake ya kuadhimisha miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika,kikwete amesema watu tuwe na moyo wa kusameheana.Alisema, na nukuu"wengine hapa wanatamani wakichaguliwa watanikoma".Je,kikwete anamaanisha serikali ya ccm ni ya kikoloni,kibaguzi au ya kikaburu? Anamaanisha kuwa kwa mateso kwa raia,mauaji ya raia,ufisadi uliopo unaofanywa na ccm kwa kuwa ccm ni serikali ya kikoloni? Je,yeye ni rais wa kikoloni? Kwa kauli ya kikwete,ccm wamepoteza uhalali wa kutawala nchi,kumbe tunatwaliwa na makaburu(yaani CCM).Je,anafanya maovu makusudi ili aje kusamehewa kama makaburu wa S.A?