Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika Uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

tisa desemba

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
434
114
Ni usiku wa saa 6 tarehe 9 Dec, kumbukumbu zangu zinanionesha kuwa ndio muda ambao taifa langu Tanganyika (sio Tanzania bara) lilipata uhuru wake rasmi kutoka kwa mkoloni (mwingreza), ili kuonyesha unavyoikumbuka, hisia zako na mapenzi yako kwa Tanganyika yetu, toa (andika) ujumbe wako (wowote) kwa ajili ya sherehe za uhuru wa Tanganyika yetu.

tanganyika.jpg


hongera Tanganyika, nakupenda Tanganyika, daima nitakusifu na kukupigania ingawa haupo nasi kwa muda (miaka 47 sasa) ila imani yangu inaniambia punde utarejea uungane nasi kwani wajukuu zako hawalali wakipigania heshima na thamani yako irejee....

happy birthday Tanganyika yangu.........!


FUATILIA LIVE FEEDS toka Uwanja wa Taifa hapa (comments za wajumbe)
 

Attachments

  • tanganyika.jpeg
    tanganyika.jpeg
    1.9 KB · Views: 158
Tanganyika ndo nchi yangu,naipenda kwa moyo wangu wote,ole wao wabadilishao jina la Tanganyika na kuliita Tanzania bara,hawana hata haya nyusoni.Mungu ibariki TANGANYIKA nchi yangu.
 
Tanganyika ndo nchi yangu,naipenda kwa moyo wangu wote,ole wao wabadilishao jina la Tanganyika na kuliita Tanzania bara,hawana hata haya nyusoni.Mungu ibariki TANGANYIKA nchi yangu.
I can't stop thinking of Mtikila Today. He is one person who explicitly spoke of Tanganyika and it's existence. Could we say the number of "WADANGANYIKA" is now getting sapased by the number of WATANGANYIKA? or is this reaction against "SEPARETISTS" Zanzibaris? Am asking because the sounds of Tanganyika are reverberating from every conner of Tanzania and now from so many people.
 
ni usiku wa saa 6 tareha 9 dec, kumbukumbu zangu zinanionesha kuwa ndio mda ambao taifa langu Tanganyika (sio Tanzania bara) lilipata uhuru wake rasmi kutoka kwa mkoloni (mwingreza), ili kuonyesha unavyoikumbuka, hisia zako na mapenzi yako kwa Tanganyika yetu, toa (andika) ujumbe wako (wowote) kwa ajili ya sherehe za uhuru wa Tanganyika yetu.

View attachment 42991
hongera Tanganyika, nakupenda Tanganyika, daima nitakusifu na kukupigania ingawa haupo nasi kwa muda (miaka 47 sasa) ila imani yangu inaniambia punde utarejea uungane nasi kwani wajukuu zako hawalali wakipigania heshima na thamani yako irejee....

happy birthday Tanganyika yangu.........!
Nashukuru kwa wazazi wangu kutonibatiza jina UHURU kutokana na kuzaliwa siku hiyo ya UHURU may be walikua na mashaka mambo gani yatatendeka miaka 50 baada ya UHURU.Anyway tusikate tamaa ni imani yangu ya ya kua neno UHURU kuna siku litarandana na maana na picha halisi ya neno lenyewe UHURU BAADA YA CCM KUFA .SIKUKUU NJEMA!
 
hivi duniani kuna nchi inaitwa TANZANIA BARA? uhuru unaosheherekewa leo ni wa nchi iliyopotezwa yaitwa TANGANYIKA. nafikiri mliona mapambano ya challenge senior cup jezi za timu zina majina ya nchi lkn ya kilimanjaro ckuona jina la nchi! hivi cc bara hatuna nchi?

Ndugu wabongo 2natia aibu kama utaifa we2 2meupoteza na 2melizika ndo maana Mungu ana2lani hata mashindano ya challenge 2nashindwa kuchukua kikombe! nawaomba watz 2idai TANGANYIKA ye2 irudi Mzee Mtikila nipo nyuma yako 2endeleze mapambano ya kuidai TANGANYIKA. la cvyo 2tabaki kua WADANGANYIKA hadi lini? Posho za wabunge zaongezwa kimya kimya, ukosefu wa ajira kwa vijana. haya 2furahie uhuru wa tanzania bara aka TANGANYIKA.
 
Hello JF members.
Leo ni maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wetu wa TZ. Ila sasa imegeuka kero kwa wale tuloacha kazi zetu na kuja uwanjani. Kwanza watu ni wengi sana na tatizo kubwa ni kufanyia uwanja mdogo a.k.a uwanja wa bibi kiasi kwamba imebidi niruke ukuta . Da so fun sasa kinachonishangaza kwanini hatukufanyia uwanja mpya?
Hii inasikitisha utaratibu wa kuingia siyo kabisa hapa mwanzo kinachofuata!
 
nakukumbuka marehemu ndugu Tanganyika uliyezaliwa 1961 na kufa 1964. wengi wanasema utarudi,mie nalala nje nkikusubiri,siku Tanzania akifa uweze kufufuka. buriani.
 
tunavyosheherekea miaka 50 ya uhuru kwa maonyesho na mbwembwe za vifaru na ndege za vita ni ishara kuwa tuliupata uhuru kwa vita????
 
kwanza hakuna nchi iliyopata uhuru inaitwa TZ..inaelekea wewe ni kibaka ndiyo maana umeruka ukuta maana ungekuwa na akili yako timamu usingefanya ujinga huo...
 
hivi duniani kuna nchi inaitwa TANZANIA BARA? uhuru unaosheherekewa leo ni wa nchi iliyopotezwa yaitwa TANGANYIKA. nafikiri mliona mapambano ya challenge senior cup jezi za timu zina majina ya nchi lkn ya kilimanjaro ckuona jina la nchi! hivi cc bara hatuna nchi? ndugu wabongo 2natia aibu kama utaifa we2 2meupoteza na 2melizika ndo maana Mungu ana2lani hata mashindano ya challenge 2nashindwa kuchukua kikombe! nawaomba watz 2idai TANGANYIKA ye2 irudi Mzee Mtikila nipo nyuma yako 2endeleze mapambano ya kuidai TANGANYIKA. la cvyo 2tabaki kua WADANGANYIKA hadi lini? posho za wabunge zaongezwa kimya kimya, ukosefu wa ajira kwa vijana. haya 2furahie uhuru wa tanzania bara aka TANGANYIKA.

Haaaa haaa! Baada ya kuchanganya Udongo tr 26 Apr 1964 Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar zilikufa! Hapa tunachosherehekea ni historia tu kwamba kulikuwa na Tanganyika, sasa Tanzania Bara! Mbona jambo dogo tu unashindwa kuelewa? Au unataka ile Tanganyika iliyojumuisha Rwanda na Burundi?
 
tunavyosheherekea miaka 50 ya uhuru kwa maonyesho na mbwembwe za vifaru na ndege za vita ni ishara kuwa tuliupata uhuru kwa vita????

mkuu haaimaanishi tu kama tumepata uhuru kwa mtutu ila ni udhaifu kuwa tunaonesha zana zetu na kuwa rahisi kuvamiwa,hii sawa na kuonesha wapi unaweka mtaji wako hivi ukiibwa au kutaifishwa utamlamu nani?
 
Happy birthday my lovely Mother TANGANYIKA and you are forever in My Heart!!!
I'be there for you in NEXT CONSTITUTION 2014!!!!
 
uwanja ushajaa tayari. watu sasa hivi wapo uwanja mpya.robo tatu ya watu hawajaingia. mia
 
ulinzi umeimalishwa.wanashirikiana, polisi,mgambo. traffic,usalama wa taifa na jwtz. Mia
 
Back
Top Bottom