Maadhimisho ya miaka 34 ya wizi wa CCM

SMG

Member
Oct 1, 2011
40
6
Habar kutoka mtu wa karibu na Ikulu zinasema kwamba CCM sasa wataadhimisha miaka 34 ya WIZI ktk kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru dec. 9 mwaka huu. Kauli mbiu yao ni hii,according to reporter! Wizi wa Kura Daima, Ufisad Mtindo Mmoja, Uporaj wa Rasilimal Tutaendeleza, Polis ndio Ngao Yetu na Upendeleo wa kuenzi Mbumbumbu ndio Ilani Yetu. Je, hii ni sawa? Naomba kuwasilisha.
 
Mabaya yote ni ya ccm na sidhani kama wana jema lolote
 
Mada za aina zina dhalilisha forum hii guys we need to stop this BS on here please
 
wananifanya niwe na chuki kubwa sana na yeyote aliye CCM,mzee wangu ameni-call kushadadia ushindi wa igunga nikamwambia sitaki uniambie cjui mdogo wako kapangiwa shule haina mwalimu eti muhamishe.coz yeye ni mchango wa upuuuzi huu
 
wananifanya niwe na chuki kubwa sana na yeyote aliye CCM,mzee wangu ameni-call kushadadia ushindi wa igunga nikamwambia sitaki uniambie cjui mdogo wako kapangiwa shule haina mwalimu eti muhamishe.coz yeye ni mchango wa upuuuzi huu
Vipi miaka Hamsini ya Uhuni,sorry ya uhuru bubu!!!
 
Back
Top Bottom