MAADA: Miaka miwili ya serikali ya awamu ya tano, nini mafanikio na changamoto?

Mafanikio kiukweli ninazidi kufurahia makampuni ya bet yanaongezeka na punde kila Mtanzania ataweza kubet, tunaomba elimu stahiki itolewe mashuleni kwenye hii michezo ya betting ili iwe sehemu ya ajira ya nchini.

Changamoto: ni Umeme kwa sisi tunaobet uwepo umeme wa uhakika tusitoke online maana wengine tunacheza sana Inplay.
nimejikuta nacheka pekeyangu kwa daladala
 
Back
Top Bottom