GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,193
Habari ndugu zangu wa jf. Hii ilikua ni maada iliyorushwa jana na ITV kupitia kipindi cha malumbano ya hoja. Kwa aina ya watu waliokuwa wanachangia na namna wanavojenga hoja napata shida kuwaelewa watz. Okey niachane na hao. Najua hapa jf kuna wasomi na watu mahili wa kujenga hoja na kudadavua mambo. Hebu nasi tulumbane kwa hoja katika hiyo maada inayosema:
'MIAKA MIWILI YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO, NINI MAFANIKIO NA CHANGAMOTO?'. Nawasilisha
'MIAKA MIWILI YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO, NINI MAFANIKIO NA CHANGAMOTO?'. Nawasilisha