Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Serikali kupitia naibu msajili wa maabara bwa thomas mshana imefunga maabara kubwa na maarufu hapa mwanza kama bahama h l.kwa kukutwa wakigawa dawa na kuandika karatasi za kwenda kuchukulia dawa badala ya dk ambae ndie mwenye zamana ya kuandika..
Kwanza ndugu mwandishi tumeifungia kwa sababu nyingi moja hawa jamaa unawoana awana hadhi ya udaktari lakini humu humu watu wanaandikiwa dawa za malaria dawa za magonjwa makubwa unaona hizi form baya zaidi wanagawa dawa ambazo zimeshaisha muda huu ni uhuni na baya zaidi wanashiirkiana na baadhi ya hospital wakidai wale ndie wanaopima vizuri na watapata dawa hapo hapo
kazi ipo
nakupenda tanzania
Kwanza ndugu mwandishi tumeifungia kwa sababu nyingi moja hawa jamaa unawoana awana hadhi ya udaktari lakini humu humu watu wanaandikiwa dawa za malaria dawa za magonjwa makubwa unaona hizi form baya zaidi wanagawa dawa ambazo zimeshaisha muda huu ni uhuni na baya zaidi wanashiirkiana na baadhi ya hospital wakidai wale ndie wanaopima vizuri na watapata dawa hapo hapo
kazi ipo
nakupenda tanzania