habari za weeked:
Pasipo kupoteza mda, Nasikitishwa na utaratibu wa kihuni unaofanywa na baadhi ya madiwani kwa kushilikiana na manispaa kuchonga barabara za mitaa nchi kwetu,
SABABU ZA KUWAKAMATA
hawazingatii utaratibu wa ujenzi unaowataka kumwaga maji punde tu baada ya kuchonga barabara hizi, hii ni kutokana na kupunguza vumbi pamoja na kushindiria ili barabara iweze kutumika na wote ipasavyo,
Kinyume na utaratibu huo, Madiwani wamegeuza barabara hizi kuwa ni miradi ya kujinufaisha na hakuna anaefuatilia,Hakuna mtaalam anaesimamia kazi zaidi ya Dreva wa GREDA anaechonga kwa kufuata maelekezo ya diwani pekee,GREDA linatifua hovyo na kufanya barabara inakuwa kero kutumika hata kwa watembea kwa miguu,baiskeli na magari pamoja na kusababisha vumbi kwa wakaaji wa maeneo ya barabara hizo jambo linalo sababisha magonjwa n.k
2. MIRADI HII INAUPIGAJI NA UFISADI
GREDA za manispaa zinafanya kazi ndogo sana ukilinganisha na LITA za mafuta zinayoandikiwa/jaziwa,
mathalani kazi ya lita 200lt, ma GREDA hayo huaandikiwa LITA 800lt na zaidi. Hii inasababishwa na uzembe wa usimamizi wa utekelezaji wa miradi hi inayofanyika kihunii.
3. HAWACHONGI NA KUJAZA VIFUSI
yapo maeneo korofi ambayo huhitaji angalau yawekewe vifusi japo kidogo ndipo barabara ichongwe, lakini wao huchonga kwa kukariri tuu pasipo utaalam kutumika, ambapo badala ya kutengeneza hujikuta wanaharibu kabisa. Mfano; unapochonga sehemu yenye mchanga/vumbi pasipo kuweka vifusi/maji barabara huharibika haraka na hugeuka kero kwa watumiaji
NAWAOMBA WAKUU WA WILAYA NA MIKOA, KAMATENI NA MTIE NDANI HAWA MADIWANI NA MAAFISA MANISPAA WANAOTUMIA MAGREDA HAYA KUJINUFAISHA.
Pasipo kupoteza mda, Nasikitishwa na utaratibu wa kihuni unaofanywa na baadhi ya madiwani kwa kushilikiana na manispaa kuchonga barabara za mitaa nchi kwetu,
SABABU ZA KUWAKAMATA
- UTARATIBU WA KUCHONGA NI MBOVU
hawazingatii utaratibu wa ujenzi unaowataka kumwaga maji punde tu baada ya kuchonga barabara hizi, hii ni kutokana na kupunguza vumbi pamoja na kushindiria ili barabara iweze kutumika na wote ipasavyo,
Kinyume na utaratibu huo, Madiwani wamegeuza barabara hizi kuwa ni miradi ya kujinufaisha na hakuna anaefuatilia,Hakuna mtaalam anaesimamia kazi zaidi ya Dreva wa GREDA anaechonga kwa kufuata maelekezo ya diwani pekee,GREDA linatifua hovyo na kufanya barabara inakuwa kero kutumika hata kwa watembea kwa miguu,baiskeli na magari pamoja na kusababisha vumbi kwa wakaaji wa maeneo ya barabara hizo jambo linalo sababisha magonjwa n.k
2. MIRADI HII INAUPIGAJI NA UFISADI
GREDA za manispaa zinafanya kazi ndogo sana ukilinganisha na LITA za mafuta zinayoandikiwa/jaziwa,
mathalani kazi ya lita 200lt, ma GREDA hayo huaandikiwa LITA 800lt na zaidi. Hii inasababishwa na uzembe wa usimamizi wa utekelezaji wa miradi hi inayofanyika kihunii.
3. HAWACHONGI NA KUJAZA VIFUSI
yapo maeneo korofi ambayo huhitaji angalau yawekewe vifusi japo kidogo ndipo barabara ichongwe, lakini wao huchonga kwa kukariri tuu pasipo utaalam kutumika, ambapo badala ya kutengeneza hujikuta wanaharibu kabisa. Mfano; unapochonga sehemu yenye mchanga/vumbi pasipo kuweka vifusi/maji barabara huharibika haraka na hugeuka kero kwa watumiaji
NAWAOMBA WAKUU WA WILAYA NA MIKOA, KAMATENI NA MTIE NDANI HAWA MADIWANI NA MAAFISA MANISPAA WANAOTUMIA MAGREDA HAYA KUJINUFAISHA.