Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Tuombee nchi ikombolewe
hehe hehe hehe hehe yamekuwa hayo tena?be mnya kwitunundu,ikasi kuboma nalamu sana,kangalage ndaiyo ela..ndauli Arusha wazima?
Ishara ya kichaa cha magwandaTuombee nchi ikombolewe
Ishara ya kichaa cha magwanda
Wakuu heshima kwenu!. Mimi ni graduate na nimekuwa nikituma applications nyingi tu sehem tofauti tofauti kuomba kazi lakini sijawahi hata kuitwa tu kwenye interview,sasa najiuliza tatizo nini?,au nafanya makosa ktk kuapply?. Naomba HRM au yeyote yule mwenye uzoefu kuhusu jinsi ya kuapply anijulishe ili nimtumie moja ya application ili aione na anisaidie kuirekebisha kama ina makosa... Nashukuru sana. Emailawaga@hotmail.com