muneera75
Senior Member
- Oct 12, 2019
- 190
- 318
Yani ukienda manispaa mpaka uhudumiwe unakua umepitia mengi sana. Leo nmeenda manispaa ya temeke yani unaslimia mtu kwa kumwangalia amekula chumvi nyingi sana lakini hataki shikamoo anataka mambo yan hawakusikilizi kwa wakati wanajivuta vuta.
Sasa nikaelekezwa kwa HR ni kijana ila anakera anjivuta sana mara apumzike mwishoni ndo anakupa jibu.
Wewe ushawahi kukutana na dhahma kama hii?
Sasa nikaelekezwa kwa HR ni kijana ila anakera anjivuta sana mara apumzike mwishoni ndo anakupa jibu.
Wewe ushawahi kukutana na dhahma kama hii?