only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Nchi yetu yaani Tanzania imepitia awamu nne za uongozi,tangu mwalimu Nyerere mpaka Jakaya Kikwete.Je, unaonaje mchango wa wake wa marais kwenye maendelea ya taifa na hasa ukizingatia ile kauli "kwa kila mafanikio au kuanguka kwa mwanaume,nyuma kuna mwanamke" hiki maanisha kuwa hawa ma-first lady wetu wana mchango mkubwa kwa mafanikio au utendaji mbaya wa Rais.
1964-1985 ------ Mama Maria Nyerere
1985-1995 ------ Mama Sitti Mwinyi
1995-2005 ------ Mama Anna Mkapa
2005-now ------- Mama Salma Kikwete
Je,yupi ana mchango mzuri hapo?
1964-1985 ------ Mama Maria Nyerere
1985-1995 ------ Mama Sitti Mwinyi
1995-2005 ------ Mama Anna Mkapa
2005-now ------- Mama Salma Kikwete
Je,yupi ana mchango mzuri hapo?