Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 788
- 1,903
Triple A ni radio bora kuwai kutokea ukanda wa kaskazini yenye makao yake makuu sakina Arusha ilifanikiwa kuwashika wasikilizaji wa rika zote kwa kupiga mziki wa kaskazini na wa tanzania kwa ujumla.
Cha ajabu sikuizi hii radio imekuwa inapiga manyimbo hayaeleweki ni ya kibrazili au argentina ni nyimbo za ajabu kwa kweli mara tu inapofika usiku ni nyimbo za kiispaniola na kireno kama leo ndio wame throwback manyimbo ya america ya kusini ambayo nauhakika huko mexico hawasikilizi izo nyimbo.
Watu mlioko karibu na papa king au kama papa king upo humu jibu maswali ya wasikilizaji hivi triple a imekuwa na ma DJ wa hispania sikuizi ama ni nini.Alafu si kuna sheria ya vyombo vya habari kucheza nyimbo za ndani kwa asilimia 80 sasa ina kuaje nyie mnacheza nyimbo za ajabu ajabu tu.Bora hata mngekuwa mnapiga nyimbo za wasanii wa kubwa wa uko.Cha kushangaza mnapiga nyimbo ambazo watu tulip na exposure na mziki wa kimataifa hatujawai kuzisikia.Badilikeni mbona nyimbo za kibongo hasa za Arusha zipo nyingi kali kuliko msipo badilika na kupiga nyimbo za ndani mtapoteza wasikilizaji wengi labda kama mnarusha matangazo yenu huko Buenos a euros.
Cha ajabu sikuizi hii radio imekuwa inapiga manyimbo hayaeleweki ni ya kibrazili au argentina ni nyimbo za ajabu kwa kweli mara tu inapofika usiku ni nyimbo za kiispaniola na kireno kama leo ndio wame throwback manyimbo ya america ya kusini ambayo nauhakika huko mexico hawasikilizi izo nyimbo.
Watu mlioko karibu na papa king au kama papa king upo humu jibu maswali ya wasikilizaji hivi triple a imekuwa na ma DJ wa hispania sikuizi ama ni nini.Alafu si kuna sheria ya vyombo vya habari kucheza nyimbo za ndani kwa asilimia 80 sasa ina kuaje nyie mnacheza nyimbo za ajabu ajabu tu.Bora hata mngekuwa mnapiga nyimbo za wasanii wa kubwa wa uko.Cha kushangaza mnapiga nyimbo ambazo watu tulip na exposure na mziki wa kimataifa hatujawai kuzisikia.Badilikeni mbona nyimbo za kibongo hasa za Arusha zipo nyingi kali kuliko msipo badilika na kupiga nyimbo za ndani mtapoteza wasikilizaji wengi labda kama mnarusha matangazo yenu huko Buenos a euros.