Ma-celebrities wengi wana maisha magumu sana, pamoja na kwamba wana umaarufu na fedha nyingi

Naona wengi wamemwandama sana mtoa mada kwamba ana vinasaba vya umaskini , daah wabongo mna maneno...
Ukweli ni kuwa juhudi , bidii, malengo na maarifa zina sehemu yake katika mafanikio , ila kuna level flani ya maisha na mafanikio ni ngumu kuifikia na kuimantain bila extra power ( either God or Satan) no neutral ,

Wala asikudanganye mtu yeyte , achana na wanavyuo waliojaa humu walio blind minded na motivation speaker ,pamoja na waajiriwa ambao hawajui hustling za mtaa, almost they know nothing ,......ila waajiri wao ndo wanacheza hii sindimba , jiulize why JPM frequently anaenda Chato , kaulizie kule Chato huwa anaenda wap midnight watakueleza , but walioajiriwa na serikali hawajui jamaa anayoyapitia ili kuhakikisha anawalipa mshahara ...nouma sana

Mtoa mada maswali yako pitia huu uzi hapa chini , utapata majibu , no secret under the sun

Wazee wa ndago tukutane hapa!

Duuh hadi kuwalipa mishahara wafanyakazi wa serikali lazma kafara ihusike... dooh, nlikua sijui Slowly
 
Kumb
Hii ina include waigizaji filamu wakubwa maarufu na wanamuziki wenye utajiri na umaarufu mkubwa

Nasikia Wanapewa masharti magumu ya kichawi, ili waweze kupata na ku-maintain utajiri na umaarufu wao, na hii ni kwasababu fedha na umaarufu wao vinatoka kwa shetani, wengi wanapewa masharti kila baada ya mda flani watoe kafara flani, wanamziki wengine wa kiume wanashikishwa ukuta ili nyimbo za kwenye album zao zi-hit, ili wapate fedha na umaarufu.

Leo utakuta wanapewa sharti hili kesho wanapewa sharti lile, na ukikosea masharti cha moto utakiona, wengine wanapewa sharti la kula mavi ya watu na kula vitu vingine vibaya, kutoa kafara mashabiki zao, kunyimwa kula chakula ukipendacho etc, ukikosea masharti bhas adhabu Kali au kifo ndo kinachokusubiri. Nasikia huwez ukaimba nyimbo ya kidunia ika-hit hivi hivi hata kama una kipaji cha utunzi na sauti nzuri, lazma kafara ya damu ihusike.

Waswahili walisema lisemwalo lipo kama halipo laja, sijawahi kuyashuhudia kwa macho hayo nliosema hapo juu ila nlisikia watu wengi wakisema

Mwenye details nyingine aje aongezee nyama humu
Kumbe unasikia.Mbona sisi tunasikia unabokolewa
 
Mabeste nimekusoma mwana wasanii wanaroga saana,
Young killer
 
Hii ina include waigizaji filamu wakubwa maarufu na wanamuziki wenye utajiri na umaarufu mkubwa

Nasikia Wanapewa masharti magumu ya kichawi, ili waweze kupata na ku-maintain utajiri na umaarufu wao, na hii ni kwasababu fedha na umaarufu wao vinatoka kwa shetani, wengi wanapewa masharti kila baada ya mda flani watoe kafara flani, wanamziki wengine wa kiume wanashikishwa ukuta ili nyimbo za kwenye album zao zi-hit, ili wapate fedha na umaarufu.

Leo utakuta wanapewa sharti hili kesho wanapewa sharti lile, na ukikosea masharti cha moto utakiona, wengine wanapewa sharti la kula mavi ya watu na kula vitu vingine vibaya, kutoa kafara mashabiki zao, kunyimwa kula chakula ukipendacho etc, ukikosea masharti bhas adhabu Kali au kifo ndo kinachokusubiri. Nasikia huwez ukaimba nyimbo ya kidunia ika-hit hivi hivi hata kama una kipaji cha utunzi na sauti nzuri, lazma kafara ya damu ihusike.

Waswahili walisema lisemwalo lipo kama halipo laja, sijawahi kuyashuhudia kwa macho hayo nliosema hapo juu ila nlisikia watu wengi wakisema

Mwenye details nyingine aje aongezee nyama humu
Kuwa masikini sio mbaya lakin ukiwa na fikra za kimasikini ndio mbaya tena zaidi.
 
AKILI KUBWA hujadili hoja AKILI YA KAWAIDA hujadili matukio AKILI NDOGO hujadili watu
 
Nadhani unatakiwa kurekebisha hapa "pamoja na kwamba wana umaarufu na fedha nyingi" maana haiwezekani useme mtu anapesa nyingi tajiri halafu anamaisha magumu, unless otherwise utaje jina la msanii ambaye unajua anapesa ndeefu harafu anamaisha magumu!

Naweza kukubali ukisema wasanii wengi wanamaisha magumu tofauti na umaarufu wao hapo ntakupa "5/5". Both Bongo movie and Bongo flavor, wasanii wengi hawana pesa licha ya kuwa maarufu na hii siwalaumu wao bali mfumo mbovu wa mapato katika sanaa sio hapa tu bali "southern Africa" yote, hii imefanya wasanii waishi maisha ya ku-fake only few of them hasa upande wa music lakini upande wa Bongo movie wale waliowekeza nje ya sanaa ndio angalau wapo vyema kiuchumi ila wengi waigizaji hadi nyuma ya camera.

Dhana ya uchawi na sijui Freemasonry hio ni upuuzi na story za vijiwe ambazo wala hazina uthibitisho wowote.
 
Back
Top Bottom