Ma binti wa kingazija

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Ndugu yetu Mroki kule Comoro amekuwa yuko free mno

anyway...hawa ni ma binti wa kingazija original na yo wale wanaojiita wangajiza Bongo


3181.jpg


3180.jpg


3179.jpg


3176.jpg
 
Mimi nadhani umefika wakati wa kuruhusu wale wote ambao asili yao ni Tanzania kuingia Tanzania bila Viza.

Kule Somalia kuna kundi kubwa na Somali Bantu waongea Kizigua ni vema tuwaruhusu warudi kwao Tanzania.

Huko Comoro pia kuna watu kibao wanaodai Tanzania ndiyo kwao ni vema pia tuwaruhusu warudi kwao.

Bila kusahau kuna watu toka visiwa vya Fiji ambao wanadai asili yao ni Tanzania hasa Tabora Lindi Bagamoyo, Mwanza, Mpanda na Shinyanga. Hawa nao tuwaruhusu kuingia Tanzania bila Viza.
 
Mimi nadhani umefika wakati wa kuruhusu wale wote ambao asili yao ni Tanzania kuingia Tanzania bila Viza.

Kule Somalia kuna kundi kubwa na Somali Bantu waongea Kizigua ni vema tuwaruhusu warudi kwao Tanzania.

Huko Comoro pia kuna watu kibao wanaodai Tanzania ndiyo kwao ni vema pia tuwaruhusu warudi kwao.

Bila kusahau kuna watu toka visiwa vya Fiji ambao wanadai asili yao ni Tanzania hasa Tabora Lindi Bagamoyo, Mwanza, Mpanda na Shinyanga. Hawa nao tuwaruhusu kuingia Tanzania bila Viza.



Hii nayo itakuwa ni vizuri kwani hata Watanzania wenye asili ya asia/ulaya wanaruhusiwa kuingia nchini kwao kwa asili bila viza.
 
Mimi nadhani umefika wakati wa kuruhusu wale wote ambao asili yao ni Tanzania kuingia Tanzania bila Viza.

Kule Somalia kuna kundi kubwa na Somali Bantu waongea Kizigua ni vema tuwaruhusu warudi kwao Tanzania.

Huko Comoro pia kuna watu kibao wanaodai Tanzania ndiyo kwao ni vema pia tuwaruhusu warudi kwao.

Bila kusahau kuna watu toka visiwa vya Fiji ambao wanadai asili yao ni Tanzania hasa Tabora Lindi Bagamoyo, Mwanza, Mpanda na Shinyanga. Hawa nao tuwaruhusu kuingia Tanzania bila Viza.

Madela hebu toa shule kwanza, hao wa Comoro, Ngazija na Somalia tunawafahamu.

Hawa Watanzania waliopotelea Fiji ilikuwakuwaje? Maana kwa kadiri ya jogoo kavaa kofia yangu Fiji iko Mashariki ya mbali kaskazini kidogo kwa New Zealand na Mashariki ya Australia. Hebu toa shule mazee.
 
Hawa Ni Ndugu Zetu Wa Asali Kabisa...na Wanajua Sana Kiswahili...na Hata Ikulu Yao Yaitwa Dar.....mahitaji Yao Memngi Sana Yatoka Huku Kwetu..na Zbar...

Wanajeshi Wetu Wamepagawa Na Watoto Wa Visiwani Wanawagombania Mnoo...sijui Kama Ndoa Zao Wakirudi Zitakuwaje
 
Ndio maana nina demu wa kingazija pale zenj
Hongera Baba. Lakini taratibu. Sifa yao hao Wangazija- nikupashe mwakwetu..lazima uwe unahonga kila kitu. Usije ukasema ile nyumba ya Sinza chukua....., shamba la Mkuranga chukua...., zizi la n'gombe la Bahi chukua..., na shea zangu za mgodi wa Buzwagi pia nasabilia Manswap.... He hee.... roho juu juu.
 
duh hao majeshi yetu yasije wakuta ya uganda tu


halafu mbona hao wamekaa kama wamatumbi

Khaa. si ndo mambo ya visiwani. Mchanganyiko babu.Wako waliokaa kama waraabu, walio-mchanganyiko na Wafaransa, wako wa (rangi) wa kati na kati na wako walioangukia katika umatumbi. Si kama vile mchanganganyiko wa Unguja au Pemba. Lakini hawa katika picha waa. moto ..........
 
Hawa Ni Ndugu Zetu Wa Asali Kabisa...na Wanajua Sana Kiswahili...na Hata Ikulu Yao Yaitwa Dar.....mahitaji Yao Memngi Sana Yatoka Huku Kwetu..na Zbar...

Pengine ni kweli uyasemayo kuhusu undugu tulioanao na wangazija lakini nadhani umechemsha mkuu unaposema kuwa ikulu yao inaitwa Dar ni kuwa kigezo cha wangazija kuwa na asili ya BONGO. Neno Dar ni neno la kiarabu maana yake NYUMBA. Daru Salam (Dar es Salaam) maana yake nyumba ya amani na asili yake ni waarabu kwakuwa kuna vita ya kifikra (waarabu waliwatesa babu zetu) na (waarabu ndio walioleta dini ya uislamu) basi tukaamua kuiita Bandari Salama lakini ukweli ni Nyumba ya amani Daru Salam.

Upo hapo ngugu yangu?



JF ni Darasa kama hujui uliza wapo wenye kujua watakufahamisha na nina amini wapo wajua zaidi kuhusu Dar es Salaam. (Daru Salaam)
 
Kwenye post watoto wa kingazija kuna jamaa ameandika kuwa wangazija ni wabongo kwani hata ikulu yao inaitwa Dar akiamanisha kuwa wamecopy jina la mji wetu wa kibiashara wa Dar es Salaam.

Nimejibu kenye ile thread kumfahamisha asili ya Dar es Salaam na maana ya neno Dar. Neno Dar si neno la kiswahili laa hili ni neno la kiarabu lina maana Nyumba na neno Salaam lina maana hali ya kuwa na utulivu/amani.

Waarabu wana historia na miji iliyozungukwa na pwani ya bahari ya hindi miji kama kilwa,zanzibar,mombasa ina historia zinazolingana majengo yake ya kale na hulka za watu wake. Ile sanamu ya bisumini ( Askari monument) ukiisoma kuna sehemu inasema kuwa sanamu ile ni kumbukukumbu kwa waafrika na waarabu waliokufa kwa ajili ya nchi zao wakati wa ukombozi ipo nyingine mjini mombasa sehemu inaitwa mwembe tayari inapicha ya askari wa kiafrika na wa kiarabu.

Kwanini ilitafsiriwa Bandari Salama?

Hii ni vita ya kifikra kwa kuwa ni waarabu ndio waasisi wa jina la Dar es Salaam hawakutambulika kwakuwa eti waliwatesa mababu zetu na wao ndio walioleta uislamu! lakini hata iwe vipi ukweli ndio huo na hii lugha tunayozungumza maneno yake karibia asilimia 75% ni ya kiarabu.

Pata Darasa kidogo.


DAR ...

The Arabic word Dar, meaning abode, house, dwelling, habitation, land, country is combined with many other terms to specify a locality where a certain rule or condition holds.

By far the most important is the division of the world in DARU 'L-ISLAM and DARU 'L-HARB.

In the following some further concepts, some classical, some of them modern:


Daru 'l-'Adl is the "Abode of Justice".

Daru 'l-'Ahd (Abode of Covenant)
The Daru 'l-'Ahd is a means by which Muslims can solve the dilemma that they have created for themselves through migration and immigration: how can one live as a true Muslim while living in a non-Islamic state? The Dar al-'Ahd is a non-Muslim state in which there is an agreement between Muslims and non-Muslims that each must respect the other's right to practice their own religion. (Source)


Daru 'l-Bid'ah, being the "Abode of Heresy" or "Abode of Innovation" is where there has been a deliberate fabrication of Islamic Traditions, or Hadith, by various sects of Muslims in order to support their political and theological views.

Daru 'l-Baghy is the " Abode of Usurpation" or where there is a heretical revolt against Caliphal authority, as in the case of the Najdi rebellions - where the most famous revolt was led by Musaylima.

Daru 'l-Maslubah (Abode of Pillaged Land)

Daru 's-Salaam (Abode of Peace) is used nearly interchangably with DARU 'L-ISLAM (Abode of Islam).

Dar al-Sulh, is also at times translated as "the abode of peace" where Muslims, due to military/political stalemate, can have a treaty and conclude agreements with non-Muslims.
However, lasting peace is always a peace where the Muslims dictate the conditions, note The Islamic Concept of Peace. It would be more correct to translate sulh as truce or armistice in this context. Classical Islamic law only knows the division in the area where Islam rules and the area that is not yet subjugated to Islamic rule, called Daru 'l-Harb. Permanent peace treaties with unbelievers are considered invalid. It is the command of Allah that the believers should fight until Islam rules supreme. A truce is only an option as long as the Muslims are not yet strong enough to win a war and become dominant.
 
Mi najua Mzizima ili pre date Dar es salaam, kwa hiyo waarabu waliendeleza tu makazi ya Wazaramo wa Barawa Mbwa Maji na Magogoni.
 
Kwenye post watoto wa kingazija kuna jamaa ameandika kuwa wangazija ni wabongo kwani hata ikulu yao inaitwa Dar akiamanisha kuwa wamecopy jina la mji wetu wa kibiashara wa Dar es Salaam.

Nimejibu kenye ile thread kumfahamisha asili ya Dar es Salaam na maana ya neno Dar. Neno Dar si neno la kiswahili laa hili ni neno la kiarabu lina maana Nyumba na neno Salaam lina maana hali ya kuwa na utulivu/amani.

Waarabu wana historia na miji iliyozungukwa na pwani ya bahari ya hindi miji kama kilwa,zanzibar,mombasa ina historia zinazolingana majengo yake ya kale na hulka za watu wake. Ile sanamu ya bisumini ( Askari monument) ukiisoma kuna sehemu inasema kuwa sanamu ile ni kumbukukumbu kwa waafrika na waarabu waliokufa kwa ajili ya nchi zao wakati wa ukombozi ipo nyingine mjini mombasa sehemu inaitwa mwembe tayari inapicha ya askari wa kiafrika na wa kiarabu.

Kwanini ilitafsiriwa Bandari Salama?

Hii ni vita ya kifikra kwa kuwa ni waarabu ndio waasisi wa jina la Dar es Salaam hawakutambulika kwakuwa eti waliwatesa mababu zetu na wao ndio walioleta uislamu! lakini hata iwe vipi ukweli ndio huo na hii lugha tunayozungumza maneno yake karibia asilimia 75% ni ya kiarabu.

Pata Darasa kidogo.


DAR ...

The Arabic word Dar, meaning abode, house, dwelling, habitation, land, country is combined with many other terms to specify a locality where a certain rule or condition holds.

By far the most important is the division of the world in DARU 'L-ISLAM and DARU 'L-HARB.

In the following some further concepts, some classical, some of them modern:


Daru 'l-'Adl is the "Abode of Justice".

Daru 'l-'Ahd (Abode of Covenant)
The Daru 'l-'Ahd is a means by which Muslims can solve the dilemma that they have created for themselves through migration and immigration: how can one live as a true Muslim while living in a non-Islamic state? The Dar al-'Ahd is a non-Muslim state in which there is an agreement between Muslims and non-Muslims that each must respect the other's right to practice their own religion. (Source)


Daru 'l-Bid'ah, being the "Abode of Heresy" or "Abode of Innovation" is where there has been a deliberate fabrication of Islamic Traditions, or Hadith, by various sects of Muslims in order to support their political and theological views.

Daru 'l-Baghy is the " Abode of Usurpation" or where there is a heretical revolt against Caliphal authority, as in the case of the Najdi rebellions - where the most famous revolt was led by Musaylima.

Daru 'l-Maslubah (Abode of Pillaged Land)

Daru 's-Salaam (Abode of Peace) is used nearly interchangably with DARU 'L-ISLAM (Abode of Islam).

Dar al-Sulh, is also at times translated as "the abode of peace" where Muslims, due to military/political stalemate, can have a treaty and conclude agreements with non-Muslims.
However, lasting peace is always a peace where the Muslims dictate the conditions, note The Islamic Concept of Peace. It would be more correct to translate sulh as truce or armistice in this context. Classical Islamic law only knows the division in the area where Islam rules and the area that is not yet subjugated to Islamic rule, called Daru 'l-Harb. Permanent peace treaties with unbelievers are considered invalid. It is the command of Allah that the believers should fight until Islam rules supreme. A truce is only an option as long as the Muslims are not yet strong enough to win a war and become dominant.



UNABOA

THREAD NI KUHUSU MABINTI WA KINGAZIJA WEWE UNALETA THESIS

ZUNGUMZIA MBINTI WA KINGAZIJA

SWALI:

JE, YULE MOHAMMED WA TANESCO HANA BINTI UMRI WA KUOA?
 
Back
Top Bottom