Wakaguzi wa hesabu wamebaini Ufisadi Mkubwa Hospitali ya Macho CCBRT ambapo imebainika kwamba mishahara ya wafanyakazi kutoka Hazina ,haijawahi kulipwa!!
Pia Watendaji wakuu CCBRT walifanya njama na Wahasibu na Kutengeneza majina hewa na kuyapeleka hazina , ambapo serikali ilikuwa inalipa wakati watu hao hawapo duniani.
Wizi huo umeonyesha kukithiri muda mufupi baada ya serikali kuanza kushirikiana na CCBRT ambapo kuna fungu la mishahara kutoka Hazina lilitengwa kuboresha Mishahara ya wafanyakazi!!
Wafanyakazi wawili wanaofahamika kwa Majina ya Bi Leonida na Bw Mohamedi wamefukuzwa kwa saa 24 kutokana na kashifa hiyo.
Mishahara ya wafanyakazi mwezi wa tatu imesimamishwa kupisha uchunguzi wa dharura!!
Pia Watendaji wakuu CCBRT walifanya njama na Wahasibu na Kutengeneza majina hewa na kuyapeleka hazina , ambapo serikali ilikuwa inalipa wakati watu hao hawapo duniani.
Wizi huo umeonyesha kukithiri muda mufupi baada ya serikali kuanza kushirikiana na CCBRT ambapo kuna fungu la mishahara kutoka Hazina lilitengwa kuboresha Mishahara ya wafanyakazi!!
Wafanyakazi wawili wanaofahamika kwa Majina ya Bi Leonida na Bw Mohamedi wamefukuzwa kwa saa 24 kutokana na kashifa hiyo.
Mishahara ya wafanyakazi mwezi wa tatu imesimamishwa kupisha uchunguzi wa dharura!!