Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Katika uchaguzi wa uliofanyika Katika kata mbalimbali za Chato, Magamba wamepigwa mweleka na CDM maana hata vijijini CCM haitakiwi.
VIJIJI ILIVYOSHINDA CHADEMA NI:-
1. Mjengo kata ya Mganza
2. Kazunguti Kata ya Nyamilembe
3. Mikonto Kata ya Nyamilembe
4. Izubangabo Kata ya Bwanga.
5. Majengo Kata y aBuziku
6. Kasala Kata ya Makuluguzi
7. Mwenda Kulima kata ya Ipalamasa
8. Nyakakalango kata ya Nyamilembe
CCM ni mkungo kata ya Bukome, Mwabasabi kata ya Ipalamasa, Mnekezi kata ya Ipalamasa
Mchakato wa M4C unaendelea kata hadi kata. Wilaya ya Chato ina kata ishirini na mbili (22) katika hizi tumezunguka kata kumi na nane na kila kata ambazo tumepita ukiitishwa uchaguzi leo kata hizo (CCM) wataambulia moja au hamna bahati nzuri umeshuhudia(Mimi Tamuganyizi nilishuhudia) M/kiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato(CCM) akilalamika mafuriko wanayoyapata na tarehe 1/6/2012 tunaenda kata ya Bwera siku ya ijumaa.
Hii oparesheni bomoa makufuri ni kimbuga cha 2015 kuchukua Halmashauri.
Matokeo ya mIkutano yetu kila tulipopita hakuna mkutano tulipiTa bila kuvua gamba na kuvaa gwanda jumla ya magamba 66 yamevuliwa na kuvaa magwanda na wanachama zaidi wamejiunga na chama cha ukombozi(CHADEMA),
Manyanyaso mpaka sasa tuna kesi mahakamani ya M/Kiti wa kijiji cha minkoto pamoja na wenzake wawili walibambikizwa kesi ya kuchoma moto na kuua ngombe za mtuhumiwa wa ujambazi.
Kijiji anamotoka M/kiti wa halmashauri, na yeye ameshirikiana na polisi kubambikiza kesi ya ujambazi kwa wanachama wetu wawili waliofinikisha tukachukua vitongoji viwili ndani ya kata yake. Bado M/Kiti wetu kijiji cha Kibumba kata ya Makurugusi na
yeye alibambikizwa kesi ya mauaji mpaka sasa yuko mahabusu Bihalamulo.
CHANGAMOTO
Vifaa vya chama kama Bendera, Kadi na Katiba hatuna kabisa lakini tuliadika barua makao makuu pamoja na mkoa tumeelezwa kuwa bado vifaa haijaja kutoka vilipoagizwa.
My Take
Haya ni mahojiano niliyoyafanya na Katibu wa CDM wilaya ya Chato. Jamaa yuko simple ni kijana yuko Stendi pale Chato. Storage ya nyaraka muhimu alizonazo sio nzuri. Binafsi naandaa walau storage ya Hard Copies alizonazo kijana kwa kuanzia na baadaye ufumbuzi kamili. Leo CDM inaharibu kule Kata ya Bwera…nitawapa update.
Kwenye Kibanda cha kazi anapopigia kazi Kamanda huyo ametype na kuprint maandishi yasomayo hivi….." VUA GAMBA VAA GWANDA, VUA UKADA UVAE UKAMANDA"
Katibu huyo anaitwa Mange Sayi Ludongo – Wasiliana naye kwa update zaidi….0752911438
S.L.P 15,
CHATO.
VIJIJI ILIVYOSHINDA CHADEMA NI:-
1. Mjengo kata ya Mganza
2. Kazunguti Kata ya Nyamilembe
3. Mikonto Kata ya Nyamilembe
4. Izubangabo Kata ya Bwanga.
5. Majengo Kata y aBuziku
6. Kasala Kata ya Makuluguzi
7. Mwenda Kulima kata ya Ipalamasa
8. Nyakakalango kata ya Nyamilembe
CCM ni mkungo kata ya Bukome, Mwabasabi kata ya Ipalamasa, Mnekezi kata ya Ipalamasa
Mchakato wa M4C unaendelea kata hadi kata. Wilaya ya Chato ina kata ishirini na mbili (22) katika hizi tumezunguka kata kumi na nane na kila kata ambazo tumepita ukiitishwa uchaguzi leo kata hizo (CCM) wataambulia moja au hamna bahati nzuri umeshuhudia(Mimi Tamuganyizi nilishuhudia) M/kiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato(CCM) akilalamika mafuriko wanayoyapata na tarehe 1/6/2012 tunaenda kata ya Bwera siku ya ijumaa.
Hii oparesheni bomoa makufuri ni kimbuga cha 2015 kuchukua Halmashauri.
Matokeo ya mIkutano yetu kila tulipopita hakuna mkutano tulipiTa bila kuvua gamba na kuvaa gwanda jumla ya magamba 66 yamevuliwa na kuvaa magwanda na wanachama zaidi wamejiunga na chama cha ukombozi(CHADEMA),
Manyanyaso mpaka sasa tuna kesi mahakamani ya M/Kiti wa kijiji cha minkoto pamoja na wenzake wawili walibambikizwa kesi ya kuchoma moto na kuua ngombe za mtuhumiwa wa ujambazi.
Kijiji anamotoka M/kiti wa halmashauri, na yeye ameshirikiana na polisi kubambikiza kesi ya ujambazi kwa wanachama wetu wawili waliofinikisha tukachukua vitongoji viwili ndani ya kata yake. Bado M/Kiti wetu kijiji cha Kibumba kata ya Makurugusi na
yeye alibambikizwa kesi ya mauaji mpaka sasa yuko mahabusu Bihalamulo.
CHANGAMOTO
Vifaa vya chama kama Bendera, Kadi na Katiba hatuna kabisa lakini tuliadika barua makao makuu pamoja na mkoa tumeelezwa kuwa bado vifaa haijaja kutoka vilipoagizwa.
My Take
Haya ni mahojiano niliyoyafanya na Katibu wa CDM wilaya ya Chato. Jamaa yuko simple ni kijana yuko Stendi pale Chato. Storage ya nyaraka muhimu alizonazo sio nzuri. Binafsi naandaa walau storage ya Hard Copies alizonazo kijana kwa kuanzia na baadaye ufumbuzi kamili. Leo CDM inaharibu kule Kata ya Bwera…nitawapa update.
Kwenye Kibanda cha kazi anapopigia kazi Kamanda huyo ametype na kuprint maandishi yasomayo hivi….." VUA GAMBA VAA GWANDA, VUA UKADA UVAE UKAMANDA"
Katibu huyo anaitwa Mange Sayi Ludongo – Wasiliana naye kwa update zaidi….0752911438
S.L.P 15,
CHATO.