Mwamba Usemao Kweli
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 744
- 186
Hatimaye wale wafuasi wa Chadema Asilia wamenyosha mikono baada ya mafisadi wa friends of Lowasa kuwavamia na kumnunua mwenyekiti wa Chadema freeman Mbowe na sasa chama kinamilikiwa na friends of Lowassa.
Kweli fedha ndo kila kitu.
Kweli fedha ndo kila kitu.