LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
M4C. Leo Kamanda G. Lema na Makamanda wengine wamendelea kuwavua magamba ya kutosha katika kijiji cha Kilewo kata ya Kifaru katika Jimbo la Mwanga Mkoani Kilimanjaro.
Na kesho msafara unaelekea Wilayani Sengerema ambapo kesho watakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara wilayani hapo na Jumapili watakuwa mjini Chato kwa Waziri wa Ujenzi Mh. Magufuli na jumatatu Wilayani Bunta na jumanne watakuwa Singida kaskazini.
Makamanda wataendelea na zoezi hilo ambapo wameapa ya kwmb huu ni msako wa lango hadi lango na hakuna kuchoka mpaka KIELEWEKE!
Habari ndio hiyo na NINAWASILISHA!
Source ni Mi mwenyewe!!
Na kesho msafara unaelekea Wilayani Sengerema ambapo kesho watakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara wilayani hapo na Jumapili watakuwa mjini Chato kwa Waziri wa Ujenzi Mh. Magufuli na jumatatu Wilayani Bunta na jumanne watakuwa Singida kaskazini.
Makamanda wataendelea na zoezi hilo ambapo wameapa ya kwmb huu ni msako wa lango hadi lango na hakuna kuchoka mpaka KIELEWEKE!
Habari ndio hiyo na NINAWASILISHA!
Source ni Mi mwenyewe!!